ASAS YAJIPANGA KUWAHUDUMIA WANANCHI MAONESHO YA SABASABA , WAKAMILISHA MAANDALIZI KWA AJILI YA WATEJA WAO

ASAS YAJIPANGA KUWAHUDUMIA WANANCHI MAONESHO YA SABASABA , WAKAMILISHA MAANDALIZI KWA AJILI YA WATEJA WAO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa ASAS YAJIPANGA KUWAHUDUMIA WANANCHI MAONESHO YA SABASABA , WAKAMILISHA MAANDALIZI KWA AJILI YA WATEJA WAO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : ASAS YAJIPANGA KUWAHUDUMIA WANANCHI MAONESHO YA SABASABA , WAKAMILISHA MAANDALIZI KWA AJILI YA WATEJA WAO
kiungo : ASAS YAJIPANGA KUWAHUDUMIA WANANCHI MAONESHO YA SABASABA , WAKAMILISHA MAANDALIZI KWA AJILI YA WATEJA WAO

soma pia


ASAS YAJIPANGA KUWAHUDUMIA WANANCHI MAONESHO YA SABASABA , WAKAMILISHA MAANDALIZI KWA AJILI YA WATEJA WAO

ASAS imeamua kupiga kambi katika viwanja vya Maonesho ya Biashara ya Kimataifa yanayotarajia kuanza kesho Juni 28 mwaka huu katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam ambapo maandalizi ya banda lao kwa ajli ya kuwahudumia wateja wao limekamilika.

Kwa sasa nchini maziwa ya ASAS ndio yamekuwa  yakipendwa kila ya nchi yetu na katika kuhakikisha wanawahudumia watanzania kokote walipo wameamua kuweka banda lao kwa kuhakikisha wanaendelea kuwahudumia wote  watakaofika kwenye maonesho hayo.

ASAS kutokana na kutambua kuwa kwenye viwanja vya Sabasaba idadi ya watu itakuwa kubwa nao wameamua kuchukua banda lenye uwezo wa kuingiza watu ndani na uamuzi huo ni kuhakikisha wanamhudumia kila anayeingia katika banda hilo.

Mmoja waaandaaji wa banda la ASAS  ameiambia Michuzi Blog kuwa mwaka huu wameamua kuweka maeneo mengi ya kuhuduma wateja watakaofika huku wakihakikisha hali ya hewa muda wote inakuwa rafiki kwa wote.

Mkazi wa Mtoni kwa Aziz Alli jijii Dar es Salaam ambaye alifika kujionea maandalizi ya maonesho hayo Juma Shaban amesema kuwa maziwa ya Asas yamekuwa na ladha ya aina yake ambayo inasababisha watu wengi kuyanunua.

Hivyo anaamini idadi kubwa ya watu watakaokwenda kwenye maonesho hayo lazima watafka katika banda hilo kama si wakubwa basi watoto ambao wengi wao wanapenda maziwa ya ASAS.
Muonekano wa nje wa banda la ASAS 



Hivyo makala ASAS YAJIPANGA KUWAHUDUMIA WANANCHI MAONESHO YA SABASABA , WAKAMILISHA MAANDALIZI KWA AJILI YA WATEJA WAO

yaani makala yote ASAS YAJIPANGA KUWAHUDUMIA WANANCHI MAONESHO YA SABASABA , WAKAMILISHA MAANDALIZI KWA AJILI YA WATEJA WAO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala ASAS YAJIPANGA KUWAHUDUMIA WANANCHI MAONESHO YA SABASABA , WAKAMILISHA MAANDALIZI KWA AJILI YA WATEJA WAO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/06/asas-yajipanga-kuwahudumia-wananchi.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "ASAS YAJIPANGA KUWAHUDUMIA WANANCHI MAONESHO YA SABASABA , WAKAMILISHA MAANDALIZI KWA AJILI YA WATEJA WAO"

Post a Comment