Waziri wa Habari , Utalii na mambo ya kale akutana na Wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji ZBC

Waziri wa Habari , Utalii na mambo ya kale akutana na Wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji ZBC - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Waziri wa Habari , Utalii na mambo ya kale akutana na Wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji ZBC, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Waziri wa Habari , Utalii na mambo ya kale akutana na Wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji ZBC
kiungo : Waziri wa Habari , Utalii na mambo ya kale akutana na Wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji ZBC

soma pia


Waziri wa Habari , Utalii na mambo ya kale akutana na Wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji ZBC

 WAZIRI wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo akizungumza na Wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji  Zanzibar ZBC alipowatembelea katika ukumbi wa Wasanii uliopo Rahaleo  Mjini Zanzibar.
  MKURUGENZI Shirika la Utangazaji Zanzibar ZBC Aiman Duwe akizungumza machache na kumkaribisha Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo ili kuzungumza na Wafanyakazi wa ZBC katika ukumbi wa Wasanii uliopo Rahaleo  Mjini Zanzibar.
 BAADHI ya Wafanyakazi wa wa Shirika la Utangazaji  Zanzibar ZBC  wakimsikiliza Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mahmoud Thabit Kombo alipowatembelea katika ukumbi wa Wasanii uliopo Rahaleo  Mjini Zanzibar.
  MTANGAZAJI wa Shirika la Utangazaji Zanzibar ZBC  Redio Shekh Said Suleiman akitoa ushauri  na changamoto  juu ya ugumu wa kuandaa Vipindi vya Dini.
 MTANGAZAJI wa Shirika la Utangazaji Zanzibar ZBC  TV  Msangu Said akizungumzia  changamoto na mafanikio katika majukumu ya kazi zao za kila siku (Picha na Abdalla Omar Maelezo – Zanzibar).


Hivyo makala Waziri wa Habari , Utalii na mambo ya kale akutana na Wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji ZBC

yaani makala yote Waziri wa Habari , Utalii na mambo ya kale akutana na Wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji ZBC Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Waziri wa Habari , Utalii na mambo ya kale akutana na Wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji ZBC mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/05/waziri-wa-habari-utalii-na-mambo-ya_31.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Waziri wa Habari , Utalii na mambo ya kale akutana na Wafanyakazi wa Shirika la Utangazaji ZBC"

Post a Comment