- Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa , tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title :
kiungo :

soma pia


*RC MAKONDA AWAALIKA WANANCHI KUSHUHUDIA TUKIO LA RAIS MAGUFULI KUKABIDHI KOMBE KWA TIMU YA SIMBA*.


Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam *Mhe. Paul Makonda* amewahakikishia *usalama mashabiki na wapenzi wa mpira wa miguu* watakaojitokeza kwenye Mechi Kati ya Timu ya *Simba na Kagera Sugar* itakayopigwa kwenye *Uwanja wa Taifa* ambapo Mgeni Rasmi atakuwa *Rais Dr. John Magufuli* ambae atakabidhi kombe la *Ubingwa wa VPL* 2017/2018 kwa Timu ya *Simba.*

*RC Makonda* amesema hayo wakati alipotembelewa ofisini kwake na *viongozi wa timu ya Simba* ambapo amesema kitendo cha *Rais Magufuli* kukubali kuwa *mgeni rasmi* siku ya kesho ni *heshima* kubwa kwenye tasnia ya *michezo* kwakuwa uwepo wake utakuwa na *manufaa makubwa* katika maboresho kwenye *sekta ya michezo.*

Aidha *RC Makonda* amesema anachofurahia ni kuona *Timu ya Simba iliyopo mkoa wa Dar es salaam* inanyakua kombe jambo ambalo ni *heshima kubwa* pia kwa Mkoa.

Kuhusu suala la *msongamano wa magari*  barabarani *RC Makonda* amesema watahakikisha hakuna *foleni* ili hata wale *waliofungwa kwaajili ya Ramadhan* waweze kuwahi nyumbani *kufuturu* ambapo amewasihi wananchi *kujitokeza kwa Wingi.*


Hivyo makala

yaani makala yote Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/05/rc-makonda-awaalika-wananchi-kushuhudia.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to " "

Post a Comment