RAIS Dkt. Magufuli afanya uteuzi wa Mwenyekiti Bodi ya Chai na Mkurugenzi Mkuu wa RARI

RAIS Dkt. Magufuli afanya uteuzi wa Mwenyekiti Bodi ya Chai na Mkurugenzi Mkuu wa RARI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa RAIS Dkt. Magufuli afanya uteuzi wa Mwenyekiti Bodi ya Chai na Mkurugenzi Mkuu wa RARI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : RAIS Dkt. Magufuli afanya uteuzi wa Mwenyekiti Bodi ya Chai na Mkurugenzi Mkuu wa RARI
kiungo : RAIS Dkt. Magufuli afanya uteuzi wa Mwenyekiti Bodi ya Chai na Mkurugenzi Mkuu wa RARI

soma pia


RAIS Dkt. Magufuli afanya uteuzi wa Mwenyekiti Bodi ya Chai na Mkurugenzi Mkuu wa RARI

KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS IKULU


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Description: Description: Description: Description: Description: Coat of Arms
Simu: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: press@ikulu.go.tz
Tovuti : www.ikulu.go.tz               

Faksi: 255-22-2113425


OFISI YA RAIS,
     IKULU,
1 BARABARA YA BARACK OBAMA,   
11400 DAR ES SALAAM.
Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Ikulu, Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Mhandisi Steven Daudi Malekela Mlote kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Chai Tanzania (Tea Board of Tanzania – TBT).
Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa Mhandisi Steven Daudi Malekela Mlote umeanza tarehe 21 Mei, 2018.
Mhandisi Steven Daudi Malekela Mlote anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Mhe. Anne Semamba Makinda ambaye amemaliza muda wake.
Wakati huo huo, Mhe. Rais Magufuli amemteua Dkt. Geofrey Suleiman Mkamilo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (Tanzania Agricultural Research Institute – TARI).
Uteuzi wa Dkt. Geofrey Suleiman Mkamilo umeanza tarehe 22 Mei, 2018 na kabla ya uteuzi huu, alikuwa Mkurugenzi wa Utafiti wa Kilimo, Kanda ya Mashariki, Kituo cha Utafiti wa Kilimo Ilonga Mkoani Morogoro.
Dkt. Geofrey Suleiman Mkamilo anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Dkt. Fidelis Angelo Myaka ambaye amestaafu.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam

23 Mei, 2018



Hivyo makala RAIS Dkt. Magufuli afanya uteuzi wa Mwenyekiti Bodi ya Chai na Mkurugenzi Mkuu wa RARI

yaani makala yote RAIS Dkt. Magufuli afanya uteuzi wa Mwenyekiti Bodi ya Chai na Mkurugenzi Mkuu wa RARI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala RAIS Dkt. Magufuli afanya uteuzi wa Mwenyekiti Bodi ya Chai na Mkurugenzi Mkuu wa RARI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/05/rais-dkt-magufuli-afanya-uteuzi-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "RAIS Dkt. Magufuli afanya uteuzi wa Mwenyekiti Bodi ya Chai na Mkurugenzi Mkuu wa RARI"

Post a Comment