Ilala afungia DECI ya NAMAINGO kwakudaiwa kutapeli wananchi

Ilala afungia DECI ya NAMAINGO kwakudaiwa kutapeli wananchi - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Ilala afungia DECI ya NAMAINGO kwakudaiwa kutapeli wananchi, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Ilala afungia DECI ya NAMAINGO kwakudaiwa kutapeli wananchi
kiungo : Ilala afungia DECI ya NAMAINGO kwakudaiwa kutapeli wananchi

soma pia


Ilala afungia DECI ya NAMAINGO kwakudaiwa kutapeli wananchi



Na Heri Shaaban
Mwambawahabari
MKUU wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema Leo ameagiza kufungwa rasmi uendeshaji wa shughuli za Kampuni ya NAMAINGO Business Agency(Mwamvuli wa Ukweli).kwa kudaiwa kutapeli zaidi ya shilingi bilioni 1.5 walizokuwa wakiweka hisa wanachama zaidi ya 4000.

Agizo la kufungiwa kampuni hiyo lilitolewa Dar es Salaam Leo mara baada wanachama wa Kampuni hiyo kuandamana hadi ofisi ya Wilaya Ilala.

"Naomba Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala Kumtafuta mmiliki wa Kampuni Namaingo kumkamata mara moja  kisha kufanya uchunguzi mara baada upelelezi kukamilika
apelekwe  mahakamani "alisema Mjema

Sophia Mjema pia aliagiza pia Akaunti zote za benki zifungwe ambapo inadaiwa toka aanze kutoa huduma mpaka sasa amekusanya fedha za wananchi  walizokuwa wakipanda samaki kama Vicoba ni sh, bilioni 1.5.


Alisema kuwa kila mwaka inadaiwa wananchi walikuwa wakipanda samaki kampuni hiyo inakusanya
Sh, milioni 14 nyuki milioni nane na ada za wanachama.

Aliagiza kama kuna taasisi zingine ambazo zinaendesha huduma kama hiyo kuacha mara moja wasishawishike.

Aidha kama zipo mtaani kuzitaja ili Serikali ianze kuzifuatilia zikibainika zifungwe.

Kwa upande wa mmoja wa mwanachama waliotapeliwa jina linaifadhiwa alisema gharama za kujiunga uanachama walikuwa wakilipa sh, milioni 1 hadi sh, 600,000 inawanachama mbalimbali wakiwemo Watumishi wa Serikali.




Hivyo makala Ilala afungia DECI ya NAMAINGO kwakudaiwa kutapeli wananchi

yaani makala yote Ilala afungia DECI ya NAMAINGO kwakudaiwa kutapeli wananchi Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Ilala afungia DECI ya NAMAINGO kwakudaiwa kutapeli wananchi mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/05/ilala-afungia-deci-ya-namaingo.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Ilala afungia DECI ya NAMAINGO kwakudaiwa kutapeli wananchi"

Post a Comment