Tanzania Bara yabanwa, Kenya yaanza vyema kombe la Chalenji

Tanzania Bara yabanwa, Kenya yaanza vyema kombe la Chalenji - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Tanzania Bara yabanwa, Kenya yaanza vyema kombe la Chalenji, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Tanzania Bara yabanwa, Kenya yaanza vyema kombe la Chalenji
kiungo : Tanzania Bara yabanwa, Kenya yaanza vyema kombe la Chalenji

soma pia


Tanzania Bara yabanwa, Kenya yaanza vyema kombe la Chalenji

 Manahodha wa Timu za Libya na Tanzania bara wakiwa katika picha ya Pamoja kabla ya kuanza mchezo wao . Mechi ilimalizika kwa sare ya bila kufungana

Kikosi cha Timu ya Libya ambacho kinashiriki mashindano ya CECAFA kama mwalika kklichomenyana na Timu ya Taifa ya Tanzania Bara , Kilimanjaro Stars


Na Abubakar Khatib Kisandu, Machakos Kenya.

Wenyeji wa Mashindano ya CECAFA SENIOR CHALLENGE CUP timu ya Taifa ya Kenya wameenza vyema  baada ya leo kuifunga Rwanda mabao 2-0 katika mchezo uliopigwa saa 8 za mchana katika uwanja wa Bukhungu huko Kakamega .

Mabao ya Kenya yamefungwa na Maasud Juma na Dancon Otieno.

Na katika uwanja wa Kenyata huko Mjini Machakos timu ya Taifa ya Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) wakatoka sare ya 0-0 dhidi ya Libya.

Mashindano hayo yataendelea tena kesho kwa kupigwa mchezo mmoja kati ya Uganda dhidi ya Burundi Saa 9:00 Alaasiri katika uwanja wa Bukhungu huko Kakamega .


Hivyo makala Tanzania Bara yabanwa, Kenya yaanza vyema kombe la Chalenji

yaani makala yote Tanzania Bara yabanwa, Kenya yaanza vyema kombe la Chalenji Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Tanzania Bara yabanwa, Kenya yaanza vyema kombe la Chalenji mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/12/tanzania-bara-yabanwa-kenya-yaanza.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Tanzania Bara yabanwa, Kenya yaanza vyema kombe la Chalenji"

Post a Comment