Rais wa Zanzibar Dk. Shein Ahudhuria Mazishi ya Mama Yake Meja Staaf Juma Kassim Tindwa

Rais wa Zanzibar Dk. Shein Ahudhuria Mazishi ya Mama Yake Meja Staaf Juma Kassim Tindwa - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Rais wa Zanzibar Dk. Shein Ahudhuria Mazishi ya Mama Yake Meja Staaf Juma Kassim Tindwa, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Rais wa Zanzibar Dk. Shein Ahudhuria Mazishi ya Mama Yake Meja Staaf Juma Kassim Tindwa
kiungo : Rais wa Zanzibar Dk. Shein Ahudhuria Mazishi ya Mama Yake Meja Staaf Juma Kassim Tindwa

soma pia


Rais wa Zanzibar Dk. Shein Ahudhuria Mazishi ya Mama Yake Meja Staaf Juma Kassim Tindwa

 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wakishiriki katika Sala ya kuuombea dua Mwili wa Marehemu Mtumwa Mgeni , mama mzazi wa Meja Mstaaf na Mshauri wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ., Mhe. Juma Kassim Tindwa, sala hiyo imefanyika katika msikili wa Kilimani na kuzikwa katika makaburi ya Kwarara.
 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akiweka  mchanga  katika kaburi la marehemu Mtumwa Mgeni  Mama mzazi wa Meja Mstaaf Juma Kassim Tindwa katika makaburi ya Kwarara mjini Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na waombolezaji wengine wakiitikia dua inayosomwa na Sheikh Sharif Abdulrahaman Sharif, wakatika wa mazishi ya Marehemu Mtumwa Mgeni yaliofanyika katika makaburi ya Kwarara Zanzibar


Hivyo makala Rais wa Zanzibar Dk. Shein Ahudhuria Mazishi ya Mama Yake Meja Staaf Juma Kassim Tindwa

yaani makala yote Rais wa Zanzibar Dk. Shein Ahudhuria Mazishi ya Mama Yake Meja Staaf Juma Kassim Tindwa Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Rais wa Zanzibar Dk. Shein Ahudhuria Mazishi ya Mama Yake Meja Staaf Juma Kassim Tindwa mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/12/rais-wa-zanzibar-dk-shein-ahudhuria_26.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Rais wa Zanzibar Dk. Shein Ahudhuria Mazishi ya Mama Yake Meja Staaf Juma Kassim Tindwa"

Post a Comment