Zanzibar Heroes kuagwa kesho

Zanzibar Heroes kuagwa kesho - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Zanzibar Heroes kuagwa kesho, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Zanzibar Heroes kuagwa kesho
kiungo : Zanzibar Heroes kuagwa kesho

soma pia


Zanzibar Heroes kuagwa kesho

 Abubakar Khatib Kisandu, Zanzibar.

Timu ya Taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes), inatarajia kuagwa kesho kwa ajili ya safari yao ya kwenda mjini Kenya, kwenye Mashindano ya CECAFA Chalenj CUP yanayotarajiwa kuanza Disemba 3-17, 2017.
Heroes itaagwa saa 9:00 alaasiri na Waziri wa Habari Utalii Utamaduni na michezo Rashid Ali Juma katika ukumbi wa V.I.P Uwanja wa Amaan.
Katika Mashindano hayo Heroes imepangwa Kundi  A ambalo lina timu za Tanzania Bara, Libya, Rwanda na wenyeji Kenya.


Hivyo makala Zanzibar Heroes kuagwa kesho

yaani makala yote Zanzibar Heroes kuagwa kesho Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Zanzibar Heroes kuagwa kesho mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/zanzibar-heroes-kuagwa-kesho.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Zanzibar Heroes kuagwa kesho"

Post a Comment