title : MWANZA WAZINDUA MWONGOZO WA UWEKEZAJI WA MKOA
kiungo : MWANZA WAZINDUA MWONGOZO WA UWEKEZAJI WA MKOA
MWANZA WAZINDUA MWONGOZO WA UWEKEZAJI WA MKOA
Wanaoshuhudia tukio hilo ni Mkuu na Mtaalamu wa Miradi UNDP Tanzania, Amon Manyama (wa nne kushoto), Mwenyekiti wa Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) Dkt. Samuel Nyantahe (wa tano kushoto), Kamishna wa Jeshi la Polisi Bw. Clodwing Mtweve (wa pili kulia) pamoja na viongozi wa madhehebu ya dini na wa mkoa wa Mwanza katika hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.
Mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mh. John Mongella na meza kuu wakionyesha nakala za Mwongozo wa Uwekezaji wa mkoa huo baada ya kuzinduliwa rasmi katika hafla iliyofanyika kwenye viwanja vya ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.
Mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mh. John Mongella katika picha ya pamoja na Wakuu wa wilaya za jiji la Mwanza huku wakiwa wameshika nakala za Mwongozo wa Uwekezaji wa mkoa wa Mwanza uliondaliwa na ESRF chini ya ufadhili wa UNDP.
Hivyo makala MWANZA WAZINDUA MWONGOZO WA UWEKEZAJI WA MKOA
yaani makala yote MWANZA WAZINDUA MWONGOZO WA UWEKEZAJI WA MKOA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MWANZA WAZINDUA MWONGOZO WA UWEKEZAJI WA MKOA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/mwanza-wazindua-mwongozo-wa-uwekezaji.html
0 Response to "MWANZA WAZINDUA MWONGOZO WA UWEKEZAJI WA MKOA"
Post a Comment