title : MBIO ZA TIGO DODOMA HALF MARATHON ZAFANA
kiungo : MBIO ZA TIGO DODOMA HALF MARATHON ZAFANA
MBIO ZA TIGO DODOMA HALF MARATHON ZAFANA
Wafanyakazi wa Tigo walioshiriki katika mbio ndefu za Tigo Dodoma Half Marathon wakiwa na bango linalosema 'Tumekusoma' kabla ya kuanza kwa mbio hizo ndefu jijini Dodoma leo. Tumekusoma ni kampeni mpya ya Tigo inayolenga kuwapa wateja wake urahisi wa kutumia huduma za simu pamoja na faida zaidi za bonasi kila watakapotumia namba mpya ya *147*00# kununua muda wa maongezi, bando, data na kufanya miamala ya fedha.
Naongoza kwa mfano na vitendo. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dr Hamisi Kigwangala akimalizamio ndefu za Tigo Dodoma Half Marathon zilizofanyika katika jiji la Dodoma jana. Mhe Dr. Kigwangala alishiriki katika mbio za kilometa 21.
Hivyo makala MBIO ZA TIGO DODOMA HALF MARATHON ZAFANA
yaani makala yote MBIO ZA TIGO DODOMA HALF MARATHON ZAFANA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MBIO ZA TIGO DODOMA HALF MARATHON ZAFANA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/11/mbio-za-tigo-dodoma-half-marathon-zafana.html
0 Response to "MBIO ZA TIGO DODOMA HALF MARATHON ZAFANA"
Post a Comment