title : TCU Yatangaza Idadi ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Chuo Kikuu Mwaka wa Masomo 2017/18
kiungo : TCU Yatangaza Idadi ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Chuo Kikuu Mwaka wa Masomo 2017/18
TCU Yatangaza Idadi ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Chuo Kikuu Mwaka wa Masomo 2017/18
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imetaja idadi ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na chuo kikuu awamu ya kwanza ya udahili katika mwaka wa masomo 2017/18.
Kwa mujibu wa Kaimu Katibu Mtendaji wa TCU Prof. Eleuther Mwageni ameeleza kuwa waliochaguliwa kujiunga na elimu ya juu kwa awamu hii ni 44,627 ambao ni 57.4% na waliosalia ni 33,129 ambao ni 42%. Ambao wamesalia hawakuchaguliwa kutokana na ushindani au kukosa sifa katika programu walizoziomba
Hivyo makala TCU Yatangaza Idadi ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Chuo Kikuu Mwaka wa Masomo 2017/18
yaani makala yote TCU Yatangaza Idadi ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Chuo Kikuu Mwaka wa Masomo 2017/18 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala TCU Yatangaza Idadi ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Chuo Kikuu Mwaka wa Masomo 2017/18 mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/tcu-yatangaza-idadi-ya-wanafunzi.html
0 Response to "TCU Yatangaza Idadi ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Chuo Kikuu Mwaka wa Masomo 2017/18"
Post a Comment