MAJERUHI WAONGEZEKA SIMBA, SASA NI BOCCO NA MBONDE

MAJERUHI WAONGEZEKA SIMBA, SASA NI BOCCO NA MBONDE - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAJERUHI WAONGEZEKA SIMBA, SASA NI BOCCO NA MBONDE, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MAJERUHI WAONGEZEKA SIMBA, SASA NI BOCCO NA MBONDE
kiungo : MAJERUHI WAONGEZEKA SIMBA, SASA NI BOCCO NA MBONDE

soma pia


MAJERUHI WAONGEZEKA SIMBA, SASA NI BOCCO NA MBONDE

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.

KIKOSI cha Simba kimeanza kuandamwa na majeruhi baada ya John Bocco na Salim Mbonde kuungana na wachezaji wengine baada ya kuumia katika
mchezo wa ligi kuu Tanzania bara Jumapili iliyopita  dhidi ya Mtibwa Sugar na kushindwa kuendelea mchezo baada ya kupata majeraha.

Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano wa Simba Hajji Manara amesema kuwa kwa sasa wachezaji wote wapo katika uangalizi wa daktari wa timu.

Amesema beki wa kati Salim Mbonde ambaye ni tegemeo katika safu ya ulinzi ya Simba atakuwa nje kwa wiki nne baada ya kuumia goti katika mchezo wao dhidi ya Mtibwa mwishoni mwa wiki iliyopita na atakosa michezo takribani minne  ikiwemo Njombe Mji, Yanga, lakini pia anaweza akakosa mechi nyingine mbili dhidi ya Tanzania Prisons na Mbeya City.

Ripoti ya madaktari inasema maumivu yake sio makubwa sana lakini anahitaji kukaa nje kwa ajili ya kutumia dawa lakini kama itakuwa vinginevyo basi tutawataarifu.


Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano wa Simba Hajji Manara 




Hivyo makala MAJERUHI WAONGEZEKA SIMBA, SASA NI BOCCO NA MBONDE

yaani makala yote MAJERUHI WAONGEZEKA SIMBA, SASA NI BOCCO NA MBONDE Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MAJERUHI WAONGEZEKA SIMBA, SASA NI BOCCO NA MBONDE mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/majeruhi-waongezeka-simba-sasa-ni-bocco.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MAJERUHI WAONGEZEKA SIMBA, SASA NI BOCCO NA MBONDE"

Post a Comment