DK.SHEIN AWAPONGEZA WANAFUNZI WALIOFAULU DARAJA LA KWANZA KIDATO CHA NNE NA SITA

DK.SHEIN AWAPONGEZA WANAFUNZI WALIOFAULU DARAJA LA KWANZA KIDATO CHA NNE NA SITA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DK.SHEIN AWAPONGEZA WANAFUNZI WALIOFAULU DARAJA LA KWANZA KIDATO CHA NNE NA SITA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DK.SHEIN AWAPONGEZA WANAFUNZI WALIOFAULU DARAJA LA KWANZA KIDATO CHA NNE NA SITA
kiungo : DK.SHEIN AWAPONGEZA WANAFUNZI WALIOFAULU DARAJA LA KWANZA KIDATO CHA NNE NA SITA

soma pia


DK.SHEIN AWAPONGEZA WANAFUNZI WALIOFAULU DARAJA LA KWANZA KIDATO CHA NNE NA SITA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe Juma mara alipowasili katika viwanja vya Ukumbi wa Zamani wa Baraza la Wawakilishi,Kikwajuni Mjini Unguja leo katika hafla ya kuwapongeza Wanafunzi waliopata Daraja la Kwanza Kidato cha Nne (2016) na   Kidato cha Sita (2017)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiwapunga mkono wakati  alipofuatana na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Mhe,Riziki Pembe Juma mara alipowasili katika viwanja vya Ukumbi wa Zamani wa Baraza la Wawakilishi,Kikwajuni Mjini Unguja leo katika hafla ya kuwapongeza Wanafunzi waliopata Daraja la Kwanza Kidato cha Nne (2016) na   Kidato cha Sita (2017)
Baadhi ya Wanafunzi waliopata Daraja la Kwanza Kidato cha Nne (2016) na   Kidato cha Sita (2017),wakiwa katika ukumbi wa Zamani wa Baraza la Wawakilishi,Kikwajuni Mjini Unguja katika hafla ya kupongezwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) ambapo Dk.Shein aliwaandalia chakula cha mchana na kuwapa zawadi wanafunzi bora kimasomo 2016/2017,[Picha na Ikulu.] 17/10/2017.


Hivyo makala DK.SHEIN AWAPONGEZA WANAFUNZI WALIOFAULU DARAJA LA KWANZA KIDATO CHA NNE NA SITA

yaani makala yote DK.SHEIN AWAPONGEZA WANAFUNZI WALIOFAULU DARAJA LA KWANZA KIDATO CHA NNE NA SITA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DK.SHEIN AWAPONGEZA WANAFUNZI WALIOFAULU DARAJA LA KWANZA KIDATO CHA NNE NA SITA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/dkshein-awapongeza-wanafunzi-waliofaulu.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DK.SHEIN AWAPONGEZA WANAFUNZI WALIOFAULU DARAJA LA KWANZA KIDATO CHA NNE NA SITA"

Post a Comment