MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKAZI WA BENKI YA DUNIA BI. BELLA BIRD - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKAZI WA BENKI YA DUNIA BI. BELLA BIRD, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKAZI WA BENKI YA DUNIA BI. BELLA BIRDkiungo :
MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKAZI WA BENKI YA DUNIA BI. BELLA BIRD
MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKAZI WA BENKI YA DUNIA BI. BELLA BIRD
Makamu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan leo amkutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia nchini Bi. Bella Bird, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais na Mkurugenzi huyo walizungumzia masuala mbalimbali ya Lishe kwa akina Mama na namna ukosefu wa lishe bora unavyopelekea vifo vya akina mama na watoto wakati na baada ya kujifungua.
Aidha wamesisitiza suala la Elimu ya Lishe Bora kwa wakina mama hao ili kukabiliana na tatizo.
Makamu wa Rais aliishukuru Benki ya Dunia kwa kuwasaidia wakina mama wa Kitanzania na kuitaka iendelee kufanya hivyo hasa wakati huu ambapo nchi inaenda kwenye uchumi wa viwanda.
Hivyo makala MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKAZI WA BENKI YA DUNIA BI. BELLA BIRD
yaani makala yote MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKAZI WA BENKI YA DUNIA BI. BELLA BIRD Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKAZI WA BENKI YA DUNIA BI. BELLA BIRD mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/makamu-wa-rais-afanya-mazungumzo-na.html
Related Posts :
IDADI YA WAGONJWA WA FISTULA YAPUNGUA KWA KASI ARUSHA
NA VERO IGNATUS-ARUSHA.
Kutokana na wingi wa wakinamama wenye tatizo la ugonjwa wa fistula kuendelea kujitokeza na kupata matibabu k… Read More...
UZALISHAJI WA SUKARI WAONGEZEKA TPC
Na Vero Ignatus, Kilimanjaro.
Kiwanda cha Sukari TPC kimeongeza uzalishaji wa sukari kutoka tani 36,000 ambayo ilikua ikizalishwa mwanzoni … Read More...
MBUNGE JUMAA ATOA KONTENA LA VIFAA TIBA MLANDIZINA MWAMVUA MWINYI, KIBAHA VIJIJINI
MBUNGE wa jimbo la Kibaha Vijijini, mkoani Pwani, Hamoud Jumaa ametoa kontena la futi 40, lenye vif… Read More...
MAMA WADONGO WILAYA YA KALIUA WAPEWA ELIMU YA STADI ZA KUJITAMBUA
Mkuu wa Wilaya ya Kaliua Mkoani Tabora, Abel Busalama, akifungua mafunzo kwa Mama wadogo (Young Mothers) ya kujitambua, malezi ya fam… Read More...
TANROADS MKOANI PWANI KUTUMIA BILIONI 25.4 MATENGENEZO YA BARABARANa Mwamvua Mwinyi
WAKALA wa Barabara Tanzania (TANROADS) mkoani Pwani ,unatarajia kutumia kiasi cha sh.bilioni 25.4 kwa ajili ya kufanya mat… Read More...
0 Response to "MAKAMU WA RAIS AFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKAZI WA BENKI YA DUNIA BI. BELLA BIRD"
Post a Comment