Madaktari Nchini Kenya Washangaa Tundu Lissu Kuwa Hai

Madaktari Nchini Kenya Washangaa Tundu Lissu Kuwa Hai - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Madaktari Nchini Kenya Washangaa Tundu Lissu Kuwa Hai, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Madaktari Nchini Kenya Washangaa Tundu Lissu Kuwa Hai
kiungo : Madaktari Nchini Kenya Washangaa Tundu Lissu Kuwa Hai

soma pia


Madaktari Nchini Kenya Washangaa Tundu Lissu Kuwa Hai

Madaktari Nchini Kenya Washangaa Lissu Kuwa Hai

Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amesema madakatari nchini Kenya wameshangazwa kumwona Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu akiwa hai kutokana na shambulio la risasi lililotokea Septemba 2017 mjini Dodoma.

Msigwa aliyekuwa miongoni mwa viongozi wa Chadema waliomsafirisha Lissu kutoka Dodoma siku hiyo kwenda jijini Nairobi, aliliambia gazeti hili jana kwamba Lissu alivuja damu nyingi na kama asingepata huduma ya haraka angefariki.

“Tulipofika Nairobi, madaktari walishangaa kuona Lissu akiwa hai, kwa sababu alipoteza damu nyingi sana. Lakini niwashukuru sana madaktari wa hospitali ya Dodoma General kwa huduma waliyotoa kufanya Lissu tufike Nairobi,” amesema Mchungaji Msigwa na kuongeza:

“Nataka tu niwaambie Watanzania kwamba Tundu Lissu wetu aliumizwa sana katika jaribio la kuchukua uhai wake. Watu wasichukulie kama ni jambo dogo, ni jambo kubwa lililoharibu hata akili za watu tuliokuwa karibu naye.”


Hivyo makala Madaktari Nchini Kenya Washangaa Tundu Lissu Kuwa Hai

yaani makala yote Madaktari Nchini Kenya Washangaa Tundu Lissu Kuwa Hai Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Madaktari Nchini Kenya Washangaa Tundu Lissu Kuwa Hai mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/madaktari-nchini-kenya-washangaa-tundu.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Madaktari Nchini Kenya Washangaa Tundu Lissu Kuwa Hai"

Post a Comment