CRDB YAWAPA SOMO LA UJASILIAMALI WAKAZI WA KIGAMBONI JIJINI DAR

CRDB YAWAPA SOMO LA UJASILIAMALI WAKAZI WA KIGAMBONI JIJINI DAR - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa CRDB YAWAPA SOMO LA UJASILIAMALI WAKAZI WA KIGAMBONI JIJINI DAR, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : CRDB YAWAPA SOMO LA UJASILIAMALI WAKAZI WA KIGAMBONI JIJINI DAR
kiungo : CRDB YAWAPA SOMO LA UJASILIAMALI WAKAZI WA KIGAMBONI JIJINI DAR

soma pia


CRDB YAWAPA SOMO LA UJASILIAMALI WAKAZI WA KIGAMBONI JIJINI DAR

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Hashim Mgandilwa akizungumza wakati akifungua semina ya siku moja kwa vikundi vya kijamii na wajasiliamali, kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Sunrise, Kigamboni jijini Dar es salaa.
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa, akizungumza katika semina ya siku moja kwa vikundi vya kijamii na wajasiliamali, kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Sunrise, Kigamboni jijini Dar es salaam
Katibu Tawala wa Wilaya hiyo, Rahel Muhando akizungumza wakati alipokuwa akitambulisha sehemu ya viongozi wa ngazi mbalimbali wa Wilaya hiyo, katika semina ya siku moja kwa vikundi vya kijamii na wajasiliamali, kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Sunrise, Kigamboni jijini Dar es salaam.
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Hashim Mgandilwa (watatu kushoto), Katibu Tawala wa Wilaya hiyo, Rahel Muhando (kulia), Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Esther Mwambapa pamoja na Meneja wa CRDB Tawi la Mbagala, Midlaster Nsanzugwanko wakifatilia mada zilizokuwa zikiwasilishwa katika semina ya siku moja kwa vikundi vya kijamii na wajasiliamali, kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Sunrise, Kigamboni jijini Dar es salaam.



Hivyo makala CRDB YAWAPA SOMO LA UJASILIAMALI WAKAZI WA KIGAMBONI JIJINI DAR

yaani makala yote CRDB YAWAPA SOMO LA UJASILIAMALI WAKAZI WA KIGAMBONI JIJINI DAR Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala CRDB YAWAPA SOMO LA UJASILIAMALI WAKAZI WA KIGAMBONI JIJINI DAR mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/crdb-yawapa-somo-la-ujasiliamali-wakazi.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "CRDB YAWAPA SOMO LA UJASILIAMALI WAKAZI WA KIGAMBONI JIJINI DAR"

Post a Comment