Benki ya CRDB yaendeleza juhudi zake za kutoa huduma bora kwa wateja, kwa kuendelea kuwajengea uwezo zaidi mawakala wake

Benki ya CRDB yaendeleza juhudi zake za kutoa huduma bora kwa wateja, kwa kuendelea kuwajengea uwezo zaidi mawakala wake - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Benki ya CRDB yaendeleza juhudi zake za kutoa huduma bora kwa wateja, kwa kuendelea kuwajengea uwezo zaidi mawakala wake, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Benki ya CRDB yaendeleza juhudi zake za kutoa huduma bora kwa wateja, kwa kuendelea kuwajengea uwezo zaidi mawakala wake
kiungo : Benki ya CRDB yaendeleza juhudi zake za kutoa huduma bora kwa wateja, kwa kuendelea kuwajengea uwezo zaidi mawakala wake

soma pia


Benki ya CRDB yaendeleza juhudi zake za kutoa huduma bora kwa wateja, kwa kuendelea kuwajengea uwezo zaidi mawakala wake


Mawakala wa Benki ya CRDB maarufu kama Fahari Huduma Wakala mjini Songea, wakifuatilia kwa makini mafunzo ya uborosheji wa huduma kwa wateja yaliyoandaliwa na Benki ya CRDB. Pichani Ofisa wa benki hiyo, Willy Kamwela, akifafanua jambo kuhusu mafunzo hayo.
Mawakala wa benki ya CRDB maarufu kama Fahari Huduma Wakala mjini Songea, wakiwa katika mafunzo ya uborosheji wa huduma kwa wateja yaliyoandaliwa na Benki ya CRDB.

Ofisa wa Benki ya CRDB, Tom Mwaisenye, akitoa mafunzo kwa Fahari Huduma Wakala-Mjini Songea kuhusu namna bora ya uendeshaji na usimamizi wa biashara ya Uwakala wa Benki ya CRDB.

Ofisa wa Benki ya CRDB, Hemed Kiluvia, akitoa mafunzo kwa Mawakala wa Fahari Huduma mjini Songea kuhusu namna bora ya kuzingatia taratibu za Uwakala.
Mawakala wakiwa katika majadiliano na maofisa wa Benki ya CRDB.
Mawakala wa benki ya CRDB maarufu kama Fahari Huduma Wakala mjini Songea, wakiwa katika mafunzo ya uborosheji wa huduma kwa wateja yaliyoandaliwa na Benki ya CRDB.
Meneja wa Benki ya CRDB, tawi la Mbinga, Bi. Efronsina Mwanja akifungua semina ya kuwajengea uwezo Mawakala wa Benki ya CRDB katika kutoa Huduma kwa Wateja.
Ofisa wa Benki ya CRDB, Willy Kamwela, akitoa mfunzo kwa Mawakala wa Benki hiyo kuhusu uboreshaji Huduma kwa Wateja iliyofanyika wilayani Mbinga mkoani Ruvuma.
Baadhi ya Mawakala wa Benki ya CRDB wilayani Mbinga wakimsikiliza Ofisa wa Benki ya CRDB, Willy Kamwela (hayupo pichani), wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kutoa huduma bora kwa wateja.
Mawakala wa Benki ya CRDB, Mjini Mbinga wakifuatilia mafunzo ya kuboresha Huduma kwa Wateja.
Baadhi ya Mawakala wa Benki ya CRDB wilayani Mbinga wakimsikiliza Ofisa wa Benki ya CRDB, Willy Kamwela, wakati wa mafunzo ya Uborosheji wa Huduma kwa Wateja yaliyoandaliwa na Benki ya CRDB.
Meneja wa Benki ya CRDB, tawi la Mbinga, Bi. Efronsina Mwanja na maofisa wengine wa Benki ya CRDB wakiwa katika picha ya pamoja na Mawakala wa Benki ya CRDB mjini Songea baada ya kuhitimisha mafunzo ya siku moja.
Mawakala wa mjini Songea wakiwa katika picha ya pamoja naa maofisa wa Benki ya CRDB.


Hivyo makala Benki ya CRDB yaendeleza juhudi zake za kutoa huduma bora kwa wateja, kwa kuendelea kuwajengea uwezo zaidi mawakala wake

yaani makala yote Benki ya CRDB yaendeleza juhudi zake za kutoa huduma bora kwa wateja, kwa kuendelea kuwajengea uwezo zaidi mawakala wake Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Benki ya CRDB yaendeleza juhudi zake za kutoa huduma bora kwa wateja, kwa kuendelea kuwajengea uwezo zaidi mawakala wake mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/benki-ya-crdb-yaendeleza-juhudi-zake-za_18.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Benki ya CRDB yaendeleza juhudi zake za kutoa huduma bora kwa wateja, kwa kuendelea kuwajengea uwezo zaidi mawakala wake"

Post a Comment