Waziri Mahiga Ampokea Waziri wa Nchi wa Uingereza Ambaye Yupo Ziarani Nchini

Waziri Mahiga Ampokea Waziri wa Nchi wa Uingereza Ambaye Yupo Ziarani Nchini - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Waziri Mahiga Ampokea Waziri wa Nchi wa Uingereza Ambaye Yupo Ziarani Nchini, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Waziri Mahiga Ampokea Waziri wa Nchi wa Uingereza Ambaye Yupo Ziarani Nchini
kiungo : Waziri Mahiga Ampokea Waziri wa Nchi wa Uingereza Ambaye Yupo Ziarani Nchini

soma pia


Waziri Mahiga Ampokea Waziri wa Nchi wa Uingereza Ambaye Yupo Ziarani Nchini

Mwambawahabari
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akizungumza na Waziri wa Nchi anayeshughulikia masuala ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Uingereza, Mhe. Stewart Rory alipofika Wizarani tarehe 22 Agosti, 2017 kwa ajili ya mazungumzo rasmi na Waziri Mahiga. Katika mazungumzo yao walisisitiza umuhimu wa kuendelea kuimarisha ushirikiano uliopo baina ya Tanzania na Uingereza. Serikali ya Uingereza kupitia Shirika lale la Kimataifa la Maendeleo (DFID) inaisadia Tanzania katika miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo Maji, Elimu, Nishati Mbadala na mapambano dhidi ya madawa ya kulevya. Mhe. Stewart yupo nchini kwa ziara ya kikazi ya siku mbili tarehe 22 na 23 Agosti, 2017.
Sehemu ya ujumbe ulioambatana na Mhe. Stewart. Kulia ni Balozi wa Uingereza hapa nchini, Mhe. Sarah Cooke, Mkurugenzi wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Uingereza (DFID), Bi. Beth Arthy na Afisa kutoka Ubalozini.
Sehemu ya ujumbe wa Wizara wakati wa mazungumzo kati ya Waziri Mahiga na Waziri Stewart kutoka Uingereza (hawapo pichani). Kushoto ni Bw. Salvatory Mbilinyi, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika, Bi. Mindi Kasiga, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali na Bw. Joseph Kapinga, Afisa Mambo ya Nje.
Waziri Mahiga akiagana na mgeni wake Mhe. Stewart mara baada ya kumaliza mazungumzo yao
Picha ya pamoja
Waziri Mahiga kwa pamoja na Mhe. Stewart wakizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu lengo la ziara ya Mhe. Stewart nchini.
Mkutano na waandishi wa habari ukiendelea



Hivyo makala Waziri Mahiga Ampokea Waziri wa Nchi wa Uingereza Ambaye Yupo Ziarani Nchini

yaani makala yote Waziri Mahiga Ampokea Waziri wa Nchi wa Uingereza Ambaye Yupo Ziarani Nchini Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Waziri Mahiga Ampokea Waziri wa Nchi wa Uingereza Ambaye Yupo Ziarani Nchini mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/waziri-mahiga-ampokea-waziri-wa-nchi-wa_23.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Waziri Mahiga Ampokea Waziri wa Nchi wa Uingereza Ambaye Yupo Ziarani Nchini"

Post a Comment