WASANII WA BONGO FREVA WAASWA KUZINGATIA MATUMIZI YA LUGHA.

WASANII WA BONGO FREVA WAASWA KUZINGATIA MATUMIZI YA LUGHA. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WASANII WA BONGO FREVA WAASWA KUZINGATIA MATUMIZI YA LUGHA., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WASANII WA BONGO FREVA WAASWA KUZINGATIA MATUMIZI YA LUGHA.
kiungo : WASANII WA BONGO FREVA WAASWA KUZINGATIA MATUMIZI YA LUGHA.

soma pia


WASANII WA BONGO FREVA WAASWA KUZINGATIA MATUMIZI YA LUGHA.

Wasanii wa Bongo Freva  hapa nchini wameaswa kukuzingatia matumizi ya Lunga pamoja na mavazi  ili kuepushafungia fungia ya kazi zao za sanaa hayo yamesemwa leo wakati wa mkutano wa  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo  Dkt. Harrison Mwakyembe na wasanii wa nyimbo za bongo Freva pamoja na wadau mbalimbali na sanaa hapa nchini jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo  Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza na wasanii wa nyimbo za Bongo Freva hapa nchini kuhusu maswala mbalimbali yanayowahusu wasanii hao, pia wameshauliwa kujiunga kusajili kazi zao pamoja na kulipa kodi Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kupata miongozo mbali mbali COSOTA pamoja na BASATA.
 Baadhi ya wasanii wa Nyimbo za Bongo Freva  hapanchini kutoka kulia ni Wastara Thomasi, msanii wa Bongo Fleva, Khadija Shaban (Keisha) na Witnes Mwajaga wakiwa katika Mkutano wa wasanii wa Bongo freva na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo  Dkt. Harrison Mwakyembe jijini Dar es Salaam leo katika ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo  Dkt. Harrison Mwakyembe akipokea saa ya ukutani ikiwa ni Rambirambi kutoka kwa wasanii wa Mziki wa Bongo Freva  kama pole kufiwa na Mkewe.
                   Picha na Avila Kakingo, Globu ya Jamii. 





Hivyo makala WASANII WA BONGO FREVA WAASWA KUZINGATIA MATUMIZI YA LUGHA.

yaani makala yote WASANII WA BONGO FREVA WAASWA KUZINGATIA MATUMIZI YA LUGHA. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WASANII WA BONGO FREVA WAASWA KUZINGATIA MATUMIZI YA LUGHA. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/wasanii-wa-bongo-freva-waaswa.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "WASANII WA BONGO FREVA WAASWA KUZINGATIA MATUMIZI YA LUGHA."

Post a Comment