Steve Nyerere Awakanya Vikali Ali Kiba na Diamond...Adai Wamegusa Pabaya....

Steve Nyerere Awakanya Vikali Ali Kiba na Diamond...Adai Wamegusa Pabaya.... - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Steve Nyerere Awakanya Vikali Ali Kiba na Diamond...Adai Wamegusa Pabaya...., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Steve Nyerere Awakanya Vikali Ali Kiba na Diamond...Adai Wamegusa Pabaya....
kiungo : Steve Nyerere Awakanya Vikali Ali Kiba na Diamond...Adai Wamegusa Pabaya....

soma pia


Steve Nyerere Awakanya Vikali Ali Kiba na Diamond...Adai Wamegusa Pabaya....


Msanii wa filamu Bongo, Steve Nyerere ametoa ushauri kwa kile kinachoendelea kati ya Diamond Platnumz, Alikiba na Ommy Dimpoz kwenye mitandao ya kijamii.

Wasanii hawa wa Bongo Flava wamekuwa wakitupiana maneno yenye mafumbo katika mitandao ya kijamii tangu Diamond aliposhirikishwa katika remix ya ngoma ya Fid Q ‘Fresh’ ambayo ilitoka hiyo juzi na kudaiwa kuna maishairi ya Diamond yalimlenga Alikiba.

Kupitia mtandao wa Instagram Steve Nyerere amewataka wasanii hao kumaliza tofauti zao kwa kuzingatia hatua ambayo wamefikia kwa sasa hasa pale Ommy Dimpoz alipoweka picha Instagram akiwa na mama mzazi wa Diamond na kuandika ujumbe wenye utata.

NIMEKAA NIMEJIFIKIRIA NIMEONA NISEME KIDOGO, DUNIA MAMA ANA HESHIMA YAKE KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE, MAMA NI KIOO CHA FAMILY MAMA NI NGUZO YA FAMILY MAMA NI KIMBILIO LA FAMILY , TUNAWEZA KUKOSEA KOTE LAKINI SI KWA MAMA NDOMANA AMNA LAANA YA BABA ILA LANA YA MAMA IPO NA INAFANYA KAZI HARAKA KULIKO KITU CHOCHOTE, SIZANI KAMA TUNA ELIMISHA JAMII KUPITIA MATUSI YA KUZALILISHA WAZAZI, NYINYI NI KIOO CHA JAMII, LAZIMA MUWE NA KIFUA CHA KUBAKISHA MANENO , MIMI NILIZANI HIZI NGUVU MNAZOTUMIA MNGEWEKEZA KWENYE MZIKI WENU TUNGEFIKA MBALI SANA , MMEJIJENGEA HESHIMA NA MMELITAFUTA JINA KWA SHIDA , ILA MNASAHAU JINA HILO LINAWEZA POTEA KWA SEKUNDE, NAWASHAULI NA NAKUSHAULI WEWE UNAYEZARAU WAZAZI FUTA KAULI NA OMBA MSAMAHA KWA MASHABIKI ZAKO USUSANI KINA MAMA WOTE AMBAO NAAMINI NI MASHABIKI WAKO NA NDIO WALIOKUFANYA UKAFIKA HAPO, HATUKATAI NYINYI NI BINADAMU INAWEZEKANA MMEPISHANA KAULI ILA KWENYE KUPISHANA WEKENI AKIBA YA MANENO, KUNA KESHO HUJUI ATAKAYE KUSTILI, HAKIKA BUSARA ITUMIKE , YANI NINGEKUWA MIMI NDIO UMEMGUSA RITA WANGU IVO DOOOO, MJINGA HAJIBIWI, KICHAA HAKIMBIZWI , MWIZI SI RAFIKI, NANI KAMA MAMA, ESHIMA ITAWALE ASANTE BY #####UZALENDO KWANZA,


Hivyo makala Steve Nyerere Awakanya Vikali Ali Kiba na Diamond...Adai Wamegusa Pabaya....

yaani makala yote Steve Nyerere Awakanya Vikali Ali Kiba na Diamond...Adai Wamegusa Pabaya.... Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Steve Nyerere Awakanya Vikali Ali Kiba na Diamond...Adai Wamegusa Pabaya.... mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/steve-nyerere-awakanya-vikali-ali-kiba.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Steve Nyerere Awakanya Vikali Ali Kiba na Diamond...Adai Wamegusa Pabaya...."

Post a Comment