STAND UNITED 'CHAMA LA WANA' YAPATA UDHAMINI WA MILIONI 100 KUTOKA KAMPUNI YA BIKO

STAND UNITED 'CHAMA LA WANA' YAPATA UDHAMINI WA MILIONI 100 KUTOKA KAMPUNI YA BIKO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa STAND UNITED 'CHAMA LA WANA' YAPATA UDHAMINI WA MILIONI 100 KUTOKA KAMPUNI YA BIKO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : STAND UNITED 'CHAMA LA WANA' YAPATA UDHAMINI WA MILIONI 100 KUTOKA KAMPUNI YA BIKO
kiungo : STAND UNITED 'CHAMA LA WANA' YAPATA UDHAMINI WA MILIONI 100 KUTOKA KAMPUNI YA BIKO

soma pia


STAND UNITED 'CHAMA LA WANA' YAPATA UDHAMINI WA MILIONI 100 KUTOKA KAMPUNI YA BIKO

Wakati pazia la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara 2017-2018 likitarajiwa kufunguliwa rasmi kesho Agosti 27, mwaka huu kwa timu zote 16 kuingia viwanjani,Kampuni ya Michezo ya Bahati Nasibu Mtandaoni – BIKO imeidhamini Klabu ya Stand United ‘Chama la Wana’ shilingi milioni 100 kuanzia mwaka huu.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo Ijumaa,Agosti 25,2017mjini Shinyanga, Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini Mheshimiwa Stephen Masele (CCM) alisema BIKO wameamua kuidhamini timu hiyo baada ya kuridhishwa na mwenendo wa timu hiyo. 

“Baada ya Stand United kupoteza mwelekeo na wadhamini wake Kampuni ya Acacia kujiondoa katika udhamini,hivi sasa nimeamua kuwa msimamizi mkuu wa timu hii,nimetafuta udhamini mwingine,nimeiomba kampuni ya Kitanzania ya BIKO,imekubali kuwa wadhamini wakuu na imetupatia shilingi milioni 100 kwa mwaka huu”,alieleza Masele. 

Mbunge huyo alisema ameamua kuwa msimamizi mkuu wa timu hiyo ili kuhakikisha kuwa timu hiyo inafanya vyema katika michezo mbalimbali. 
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini Mheshimiwa Stephen Masele akizungumza katika mkutano wa hadhara leo Mjini Shinyanga ambapo alisema kampuni ya BIKO imedhamini timu ya Stand United kwa kuipatia shilingi milioni 100. 
 Mwenyekiti wa Klabu ya Stand United,Dkt. Ellyson Maeja akielezea jinsi timu hiyo ilivyojipanga kufanya vizuri katika michezo mbalimbali huku akiomba wadau kuendelea kujitokeza kuisadia timu hiyo.
Wadau mbalimbali wakiwa katika mkutano huo. 



Hivyo makala STAND UNITED 'CHAMA LA WANA' YAPATA UDHAMINI WA MILIONI 100 KUTOKA KAMPUNI YA BIKO

yaani makala yote STAND UNITED 'CHAMA LA WANA' YAPATA UDHAMINI WA MILIONI 100 KUTOKA KAMPUNI YA BIKO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala STAND UNITED 'CHAMA LA WANA' YAPATA UDHAMINI WA MILIONI 100 KUTOKA KAMPUNI YA BIKO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/stand-united-chama-la-wana-yapata.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "STAND UNITED 'CHAMA LA WANA' YAPATA UDHAMINI WA MILIONI 100 KUTOKA KAMPUNI YA BIKO"

Post a Comment