REAL MADRID YAIDUNGUA 2-0 BARCELONA NA KUCHUKUA UBINGWA WA SPANISH SUPER CUP - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa REAL MADRID YAIDUNGUA 2-0 BARCELONA NA KUCHUKUA UBINGWA WA SPANISH SUPER CUP, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
REAL MADRID YAIDUNGUA 2-0 BARCELONA NA KUCHUKUA UBINGWA WA SPANISH SUPER CUPkiungo :
REAL MADRID YAIDUNGUA 2-0 BARCELONA NA KUCHUKUA UBINGWA WA SPANISH SUPER CUP
REAL MADRID YAIDUNGUA 2-0 BARCELONA NA KUCHUKUA UBINGWA WA SPANISH SUPER CUP
Mwambawahabari
Real Madrid wameendeleza ubabe kwa mahasimu wao wakubwa Barcelona kwa kuwapa kipigo cha pili, safari hii ikiwa ni mabao 2-0 na kufanikiwa kubeba ubingwa wa Spanish Super Cup.
Madrid iliitwanga Barcelona kwa mabao 3-1 nyumbani kwao Camp Nou, Barcelona.
Bila ya mshambuliaji wake, Cristiano Ronaldo aliyelambwa kadi nyekundu katika mechi ya kwanza, Madrid imeshinda kwa idadi hiyo ikiwa nyumbani Santiago Bernabeu.
Marco Asensio alikuwa wa kwanza kuandika bao katika dakika ya nne tu ya mchezo na Karim Benzema akapachika la pili dakika ya 39 baada ya kumuibia mpira beki Samuel Umtiti wa Barcelona.
Madrid imechukua ubingwa ikiwa na jumla ya mabao 5-1 baada ya ushindi wa mabao 3-1 ugenini Camp Nou.
Hivyo makala REAL MADRID YAIDUNGUA 2-0 BARCELONA NA KUCHUKUA UBINGWA WA SPANISH SUPER CUP
yaani makala yote REAL MADRID YAIDUNGUA 2-0 BARCELONA NA KUCHUKUA UBINGWA WA SPANISH SUPER CUP Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala REAL MADRID YAIDUNGUA 2-0 BARCELONA NA KUCHUKUA UBINGWA WA SPANISH SUPER CUP mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/real-madrid-yaidungua-2-0-barcelona-na.html
Related Posts :
AWESO AFANYA ZIARA RUANGWA NA NACHINGWEA -LINDINaibu Waziri wa Maji Mheshimiwa Jumaa Aweso (Mb) leo amehitimisha ziara Ruangwa Mkoani Lindi kwa kukagua miradi ya Kitandi, Mihewe na Mbeken… Read More...
MANYANYA ,AWATAKA WANANCHI KUTEMBELEA MAONYESHO YA BIASHARA YA BIDHAA ZA NDANI
Na.John Luhende
Mwamba wa habari
Naibu wazir wa Viwanda na Biashara na Uwekezaji Eng. Stellah Manyanya , leo a… Read More...
NHIF kuanza kampeni ya uandikishaji kijiji kwa kijiji
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akionyesha kitambulisho cha matibabu kupitia mpango wa Ushir… Read More...
SERIKALI YAZISHAURI BENKI NCHINI KUSHUSHA RIBA ZA MIKOPO KUCHOCHEA UCHUMI WA VIWANDABenny Mwaipaja, WFM, Dodoma
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji, amezitaka Benki nchini kushusha viwango vya riba za mikop… Read More...
UHAMASISHAJI WA USAFI WA MAZINGIRA WILAYA YA CHEMBA WAFANYIKA
Na Shani Amanzi
Mkuu wa Wilaya ya Chemba Simon Odunga amewataka Wananchi wa Chemba kujali afya zao kwa kufanya usafi wa mazingira kuanzia m… Read More...
0 Response to "REAL MADRID YAIDUNGUA 2-0 BARCELONA NA KUCHUKUA UBINGWA WA SPANISH SUPER CUP"
Post a Comment