PICHA:CHINA WAPO KWENYE MAJARIBIO YA TRENI YA ANGA

PICHA:CHINA WAPO KWENYE MAJARIBIO YA TRENI YA ANGA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa PICHA:CHINA WAPO KWENYE MAJARIBIO YA TRENI YA ANGA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : PICHA:CHINA WAPO KWENYE MAJARIBIO YA TRENI YA ANGA
kiungo : PICHA:CHINA WAPO KWENYE MAJARIBIO YA TRENI YA ANGA

soma pia


PICHA:CHINA WAPO KWENYE MAJARIBIO YA TRENI YA ANGA

TRENI YA ANGA: Wakati Tanzania ikitarajia kuanza ujenzi wa reli ya kisasa (standard gauge), nchi ya China inafanya majaribio ya treni ya anga ambayo inatajwa kuwa na kasi zaidi nchini humo.
Uzinduzi wa treni hiyo ya kipekee ambayo inaning’inia angani, unafanyika Mashariki mwa jimbo la Shandong na inakwenda kwa kasi ya kilometa 70 kwa saa.
Mandhari ya ndani ya treni hiyo inaelezwa kuwa ni ya kuvutia, na ina uwezo wa kubeba hadi watu 510 kwa wakatiu mmoja.
 Image may contain: sky and outdoor


Hivyo makala PICHA:CHINA WAPO KWENYE MAJARIBIO YA TRENI YA ANGA

yaani makala yote PICHA:CHINA WAPO KWENYE MAJARIBIO YA TRENI YA ANGA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala PICHA:CHINA WAPO KWENYE MAJARIBIO YA TRENI YA ANGA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/pichachina-wapo-kwenye-majaribio-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "PICHA:CHINA WAPO KWENYE MAJARIBIO YA TRENI YA ANGA"

Post a Comment