MKEMIA MKUU WA SERIKALI ATOA VIGEZO 6 VYA UINGIZAJI WA KEMIKALI NCHINI

MKEMIA MKUU WA SERIKALI ATOA VIGEZO 6 VYA UINGIZAJI WA KEMIKALI NCHINI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MKEMIA MKUU WA SERIKALI ATOA VIGEZO 6 VYA UINGIZAJI WA KEMIKALI NCHINI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MKEMIA MKUU WA SERIKALI ATOA VIGEZO 6 VYA UINGIZAJI WA KEMIKALI NCHINI
kiungo : MKEMIA MKUU WA SERIKALI ATOA VIGEZO 6 VYA UINGIZAJI WA KEMIKALI NCHINI

soma pia


MKEMIA MKUU WA SERIKALI ATOA VIGEZO 6 VYA UINGIZAJI WA KEMIKALI NCHINI

Mkemia mkuu wa serikali Profesa Samwel Manyere akizungumza na waandishi wa habari kuhusu vigezo vya uingizaji Kemikali. 

 Mwambawahabari 
Maelekezo hayo yametolewa na mkemia mkuu wa serikali Prof Samwel Manyele wakati akizungumza na Wanahabari leo Jijini Dar es salaam.
Ambapo akitaja vigezo hivyo ambavyo vinaanza kutumika mara moja kuanzia hivi sasa ametaja na kusema kuwa ni pamoja na

1. Sio ruhusa kujishughulisha na shughuli za kemikali bila ya kuwa na hati ya usajili wa shughuli anayofanya.

2. Hakuna mzigo wa kemikali utakaoingizwa Tanzania kama maelezo (Label) hayako katika lugha ya Kiingereza au Kiswahili.

3. Maombi yote ya kibali yaamabatanishwe na 'Certificate of Registration'

4. Mzigo utakaoingizwa bila kibali na 'Label' utarudishwa uliko toka.

5. Kampuni ambazo hazina usajili kutoka kwa Mkemia mkuu wa Serikali, hazitaruhusiwa kuingiza kemikali nchini badala yake watalazimika kutumia kampuni zilizosajiliwa.

6. Hakuna mdau atakayeruhusiwa kushiriki tenda za ununuzi kwaajili ya kuuza kemikali bila kuwa na usajili kutoka kwa mkemia mkuu wa serikali.



Maelekezo hayo imeanza mara moja leo Agosti 17, 2017 baada ya tangazo hilo.


Hivyo makala MKEMIA MKUU WA SERIKALI ATOA VIGEZO 6 VYA UINGIZAJI WA KEMIKALI NCHINI

yaani makala yote MKEMIA MKUU WA SERIKALI ATOA VIGEZO 6 VYA UINGIZAJI WA KEMIKALI NCHINI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MKEMIA MKUU WA SERIKALI ATOA VIGEZO 6 VYA UINGIZAJI WA KEMIKALI NCHINI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/mkemia-mkuu-wa-serikali-atoa-vigezo-6.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MKEMIA MKUU WA SERIKALI ATOA VIGEZO 6 VYA UINGIZAJI WA KEMIKALI NCHINI"

Post a Comment