Maisha :Jaji Mark Bomani na mkewe washerehekea nusu karne ya ndoa yao

Maisha :Jaji Mark Bomani na mkewe washerehekea nusu karne ya ndoa yao - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Maisha :Jaji Mark Bomani na mkewe washerehekea nusu karne ya ndoa yao, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Maisha :Jaji Mark Bomani na mkewe washerehekea nusu karne ya ndoa yao
kiungo : Maisha :Jaji Mark Bomani na mkewe washerehekea nusu karne ya ndoa yao

soma pia


Maisha :Jaji Mark Bomani na mkewe washerehekea nusu karne ya ndoa yao



Jaji Mstaafu Mark Bomani na mkewe wakikata keki katika hafla ndogo ya kusherehekea miaka 50 ya ndoa yao nyumbani kwao Mikocheni jijini Dar es salaam mwishoni mwa juma.


Rais Mstaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi na mkewe Mama Sitti Mwinyi wakijiunga na Jaji Mstaafu Mark Bomani na mkewe katika hafla ndogo ya kusherehekea miaka 50 ya ndoa yao Mikocheni jijini Dar es salaam mwishoni mwa juma.

Rais Mstaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi na mkewe Mama Sitti Mwinyi na Mama Rose Rupia wakiwa na Jaji Mstaafu Mark Bomani na mkewe katika hafla ndogo ya kusherehekea miaka 50 ya ndoa yao Mikocheni jijini Dar es salaam mwishoni mwa juma.
Mark Bomani na mkewe katika hafla ndogo ya kusherehekea miaka 50 ya ndoa yao Mikocheni jijini Dar es salaam mwishoni mwa juma.


Mzee Joseph Butiku na mkewe wakiwa na Jaji Mstaafu Mark Bomani na mkewe katika hafla ndogo ya kusherehekea miaka 50 ya ndoa yao Mikocheni jijini Dar es salaam mwishoni mwa juma.

Keki ikiandaliwa

Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba na mkewe Mama Everlyin Warioba wakiwa na Jaji Mstaafu Mark Bomani na mkewe katika hafla ndogo ya kusherehekea miaka 50 ya ndoa yao Mikocheni jijini Dar es salaam mwishoni mwa juma.

Wakiwa na watoto na wajukuu kwenye sherehe ya nusu karne ya ndoa yao


Hivyo makala Maisha :Jaji Mark Bomani na mkewe washerehekea nusu karne ya ndoa yao

yaani makala yote Maisha :Jaji Mark Bomani na mkewe washerehekea nusu karne ya ndoa yao Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Maisha :Jaji Mark Bomani na mkewe washerehekea nusu karne ya ndoa yao mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/maisha-jaji-mark-bomani-na-mkewe.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Maisha :Jaji Mark Bomani na mkewe washerehekea nusu karne ya ndoa yao"

Post a Comment