HAJI MANARA AIWAKILISHA YANGA WAKATI WA UTAMBULISHO WA JEZI

HAJI MANARA AIWAKILISHA YANGA WAKATI WA UTAMBULISHO WA JEZI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa HAJI MANARA AIWAKILISHA YANGA WAKATI WA UTAMBULISHO WA JEZI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : HAJI MANARA AIWAKILISHA YANGA WAKATI WA UTAMBULISHO WA JEZI
kiungo : HAJI MANARA AIWAKILISHA YANGA WAKATI WA UTAMBULISHO WA JEZI

soma pia


HAJI MANARA AIWAKILISHA YANGA WAKATI WA UTAMBULISHO WA JEZI




20621959_472587316454385_5574857583059670940_n
Msemaji wa Simba, Haji Manara ameamua kufanya “uchale” baada ya kuiwakilisha Yanga wakati wa hafla fupi ya ukabizishwaji vifaa iliyofanywa na wadhamini wa Ligi Kuu Bara, Vodacom.
 
Manara alikwenda moja kwa moja jukwaani wakati vijana waliokuwa wakiiwakilisha Yanga kupanda jukwaani kutambulisha jezi hizo.
 
Kwa kuwa hakukuwa na mwakilishi wa Yanga, Manara alipanda jukwaani na kusema anawawakilisha akifanya utani ingawa baadhi walimpongeza na kusema aliiwakilisha timu ya baba yake, Sunday Manara, naye akasema hawezi kuwa Yanga hadi anakufa.


Hivyo makala HAJI MANARA AIWAKILISHA YANGA WAKATI WA UTAMBULISHO WA JEZI

yaani makala yote HAJI MANARA AIWAKILISHA YANGA WAKATI WA UTAMBULISHO WA JEZI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala HAJI MANARA AIWAKILISHA YANGA WAKATI WA UTAMBULISHO WA JEZI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/haji-manara-aiwakilisha-yanga-wakati-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "HAJI MANARA AIWAKILISHA YANGA WAKATI WA UTAMBULISHO WA JEZI"

Post a Comment