HAJI MANARA AIWAKILISHA YANGA WAKATI WA UTAMBULISHO WA JEZI - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa HAJI MANARA AIWAKILISHA YANGA WAKATI WA UTAMBULISHO WA JEZI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
HAJI MANARA AIWAKILISHA YANGA WAKATI WA UTAMBULISHO WA JEZIkiungo :
HAJI MANARA AIWAKILISHA YANGA WAKATI WA UTAMBULISHO WA JEZI
HAJI MANARA AIWAKILISHA YANGA WAKATI WA UTAMBULISHO WA JEZI
Msemaji wa Simba, Haji Manara ameamua kufanya “uchale” baada ya kuiwakilisha Yanga wakati wa hafla fupi ya ukabizishwaji vifaa iliyofanywa na wadhamini wa Ligi Kuu Bara, Vodacom.
Manara alikwenda moja kwa moja jukwaani wakati vijana waliokuwa wakiiwakilisha Yanga kupanda jukwaani kutambulisha jezi hizo.
Kwa kuwa hakukuwa na mwakilishi wa Yanga, Manara alipanda jukwaani na kusema anawawakilisha akifanya utani ingawa baadhi walimpongeza na kusema aliiwakilisha timu ya baba yake, Sunday Manara, naye akasema hawezi kuwa Yanga hadi anakufa.
Hivyo makala HAJI MANARA AIWAKILISHA YANGA WAKATI WA UTAMBULISHO WA JEZI
yaani makala yote HAJI MANARA AIWAKILISHA YANGA WAKATI WA UTAMBULISHO WA JEZI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala HAJI MANARA AIWAKILISHA YANGA WAKATI WA UTAMBULISHO WA JEZI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/haji-manara-aiwakilisha-yanga-wakati-wa.html
Related Posts :
KIKUNDI CHA GONGA GONGA WAFANYA UKARABATI NA USAFI ZAHANATI YA MJI MWEMA
Vijana wa Kikundi cha Gonga Gonga cha Mji Mwema, Kigamboni wakifanya usafi cha choo cha wagonjwa cha Zahanati ya Mji Mwema. Mwishoni mwa … Read More...
RAIS DKT. MAGUFULI ATOA POLE KWA MBUNGE WA IRINGA MJINI MCHUNGAJI PETER MSIGWA ALIYEFIWA NA DADA YAKE JIJINI DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini Kitabu cha Maombolezo mara baada ya kuwasili Kimara kwa ajili ya… Read More...
KAMATI YA BUNGE YAMPONGEZA DC MURO.
Kamati ya Bunge, Mifugo, Kilimo na Maji imempongeza Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Ndugu Jerry Cornel Muro kutokana na mkakati wake wa kukwamua … Read More...
MJASILIAMALI SOKO LA MACHINGA COMPLEX AJINYAKULIA KITITA CHA SHILINGI MILIONI TANO KUTOKA BIKO
Mshindi wa sh milioni tano Omary Abdallah Kapungu, akifurahia fedha zake alizokabidhiwa kutoka kwenye bahati nasibu ya Biko, katika d… Read More...
WAZIRI MHAGAMA AWAASA WANANCHI KUTUNZA MAZINGIRA NA VYANZO VYA MAJI
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na… Read More...
0 Response to "HAJI MANARA AIWAKILISHA YANGA WAKATI WA UTAMBULISHO WA JEZI"
Post a Comment