BRAZUKA KIBENKI: Maofisa kuonyeshana kazi viwanjani - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa BRAZUKA KIBENKI: Maofisa kuonyeshana kazi viwanjani, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
BRAZUKA KIBENKI: Maofisa kuonyeshana kazi viwanjanikiungo :
BRAZUKA KIBENKI: Maofisa kuonyeshana kazi viwanjani
BRAZUKA KIBENKI: Maofisa kuonyeshana kazi viwanjani
MSIMU wa tatu wa michuano ya BRAZUKA KIBENKI unaoshirikisha taasisi za kibenki katika michezo ya mpira wa miguu na kikapu unatarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu jijini Dar es Salaam.
Katika msimu huu michuano hiyo itashirikisha timu 15 ambazo ni NMB (Mabingwa watetezi), DTB, Barclay’s, BancABC, Exim, Stanbic, BOA, UBA, Letshego, EcoBank, CRDB, BOT, Azania, TPB, Access na UBA.
Mmoja wa maofisa wa benki ya Exim, Frank Rweyemamu ambaye pia ni mwanachama wa tawi la Simba Makini linalomiliki mtandao huu alivitaja viwanja vitakavyotumika kuwa ni Gymkhana na DonBosco.
Martin Komba wa DTB (kulia) akimtoka Hezbo wa NMB katika pambano la jana
“Michuano ya mwaka huu itafanyika katika viwanja vya Gymkhana kwa mpira wa miguu huku mechi za mpira wa kikapu zikitarajiwa kuchezwa katika uwanja wa DonBosco.” Alisema Rweyemamu.
Jana kulikuwa na mchezo wa ngao ya hisani ambapo mabingwa watetezi NMB walikubali kichapo cha mabao 4-0 kutoka kwa DTB katika mchezo wa kuashiria kuanza kwa michuano hiyo.
Bingwa wa msimu huu atakabidhiwa kikombe pamoja na medali.
Hivyo makala BRAZUKA KIBENKI: Maofisa kuonyeshana kazi viwanjani
yaani makala yote BRAZUKA KIBENKI: Maofisa kuonyeshana kazi viwanjani Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala BRAZUKA KIBENKI: Maofisa kuonyeshana kazi viwanjani mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/brazuka-kibenki-maofisa-kuonyeshana.html
Related Posts :
RAIS DKT MAGUFULI AZINDUA BARABARA NA KUFUNGUA KIWANDA CHA KUZALISHA CHAKULA CHA KUKU NA VIFARANGA
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akizindua rasmi kiwanda cha kuzalisha vifaranga na chakula cha kuku cha Silverland kilichopo Ih… Read More...
MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI YA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA (TPC) ATOA TAARIFA YA UTENDAJI WA TPC KWA KIPINDI CHA MWAKA 2016/2017
Mwenyekiti wa Bodi ya shirika hilo, Dk. Haruni Kondo, akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, wakati alipokuwa akitoa … Read More...
Waziri wa Habari Zanzibar Mhe.Mahmoud Thabiti Kombo Akiwa Nchini Oman.
Waziri wa habari utalii na mambo ya kale Mhe Mahmoud thabit kombo akiongoza ujumbe wa viongozi kadhaa wa serikali mjini Muscat Oman kusai… Read More...
LAZIMA TUSIMAMIE NIDHAMU, HATA AKIKOSEA MWALIMU AMBAYE NI MKE WA KIGOGO ACHUKULIWE HATUA-KATIBU TUME YA UTUMISHI WA WALIMU*Apiga marufuku mwanafunzi kuchapwa viboko shuleni, atoa mbinu za ufundishaji
Na Said Mwishehe,Globu ya jamii
KATIBU wa Tume ya Utumishi wa … Read More...
UCHAGUZI MKUU YANGA WAOTA MBAWA, SASA KUFANYIKA JUNI 7, VIONGOZI WATOA SABABU
Na Agness Francis,Blogu ya Jamii.
UONGOZI na Kamati ya Maandalizi Klabu ya Yanga SC wamefanya mabadiliko kwa kusogeza mbele tarehe ya Mkut… Read More...
0 Response to "BRAZUKA KIBENKI: Maofisa kuonyeshana kazi viwanjani"
Post a Comment