title : YANGA YAANZA KUFURU,YASAJILI BEKI KISIKI WA ZANZIBAR
kiungo : YANGA YAANZA KUFURU,YASAJILI BEKI KISIKI WA ZANZIBAR
YANGA YAANZA KUFURU,YASAJILI BEKI KISIKI WA ZANZIBAR
Mwambawahabari
Mabingwa mara tatu mfululizo wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara ‘VPL’, Yanga SC, wameanza kufuru ya usajili baada ya kunasa beki kisiki toka visiwani Zanzibar
Mlinzi mahiri wa Timu ya Taifa ya Jang’ombe ya Zanzibar, Abdallah Haji Shaibu maarufu kwa jina la “Ninja” amesaini mkataba wa miaka miwili (2) kuichezea Yanga.
Pichani, katibu mkuu wa Yanga, Charles Mkwasa (kushoto) akimsainisha leo Abdallah Haji (kulia) ofisini kwake Makao makuu ya Yanga, Mtaa wa Jangwani, Kariakoo, Dar es Salaam.
Hivyo makala YANGA YAANZA KUFURU,YASAJILI BEKI KISIKI WA ZANZIBAR
yaani makala yote YANGA YAANZA KUFURU,YASAJILI BEKI KISIKI WA ZANZIBAR Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala YANGA YAANZA KUFURU,YASAJILI BEKI KISIKI WA ZANZIBAR mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/yanga-yaanza-kufuruyasajili-beki-kisiki.html
0 Response to "YANGA YAANZA KUFURU,YASAJILI BEKI KISIKI WA ZANZIBAR"
Post a Comment