UTARATIBU MPYA WA USAJILI WA MAWAKALA WA WACHEZAJI WAJA

UTARATIBU MPYA WA USAJILI WA MAWAKALA WA WACHEZAJI WAJA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa UTARATIBU MPYA WA USAJILI WA MAWAKALA WA WACHEZAJI WAJA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : UTARATIBU MPYA WA USAJILI WA MAWAKALA WA WACHEZAJI WAJA
kiungo : UTARATIBU MPYA WA USAJILI WA MAWAKALA WA WACHEZAJI WAJA

soma pia


UTARATIBU MPYA WA USAJILI WA MAWAKALA WA WACHEZAJI WAJA

Mwambawahabari
Malinzi-TFF
Baada ya kufutwa utaratibu wa mawakala ‘agents’ wa wachezaji wa kulipwa, Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), lilitangaza utaratibu mpya wa kukasimu majukumu hayo kwenye ngazi ya mashirikisho kwa kila taifa.
Hivyo kwa mwaka 2016/2017, hakuna usajili wala uhamisho uliofanywa na watu wa kati yaani intermediaries wanaotambulika na TFF.
TFF – Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, linakwenda sambamba na utaratibu huo wa mabadiliko na kwa sasa linakamilisha mipango ya kusajili watu wa kati wa usajili watakaofahamika kama intermediaries.
Usahili wa kati utatangazwa baada ya kikao cha Kamati ya Utendaji kitakachojadili kanuni za watu wa kati hapo baadaye.


Hivyo makala UTARATIBU MPYA WA USAJILI WA MAWAKALA WA WACHEZAJI WAJA

yaani makala yote UTARATIBU MPYA WA USAJILI WA MAWAKALA WA WACHEZAJI WAJA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala UTARATIBU MPYA WA USAJILI WA MAWAKALA WA WACHEZAJI WAJA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/utaratibu-mpya-wa-usajili-wa-mawakala.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "UTARATIBU MPYA WA USAJILI WA MAWAKALA WA WACHEZAJI WAJA"

Post a Comment