MREMBO MASOGANGE AFUNGUKA HAYA KUHUSU UKIMYA WAKE

MREMBO MASOGANGE AFUNGUKA HAYA KUHUSU UKIMYA WAKE - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa MREMBO MASOGANGE AFUNGUKA HAYA KUHUSU UKIMYA WAKE, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : MREMBO MASOGANGE AFUNGUKA HAYA KUHUSU UKIMYA WAKE
kiungo : MREMBO MASOGANGE AFUNGUKA HAYA KUHUSU UKIMYA WAKE

soma pia


MREMBO MASOGANGE AFUNGUKA HAYA KUHUSU UKIMYA WAKE

VIDEO Queen mwenye figa bomba Bongo, Agnes Jerald ‘Masogange’ amefunguka kuwa ukimya wake wa hivi karibuni na kutojichanganya kwa watu mbalimbali ni kwa sababu ya mpenzi ambaye amempata kwa sasa kwani anambana sana.

Akizungumza  Masogange alisema hivi sasa haendi sehemu yoyote ya starehe wala kujichanganya na watu wengi kwa sababu mpenzi wake huyo amempa masharti hayo na yeye ni lazima ayafuate kwani anaheshimu penzi lake.
“Unajua kipindi cha nyuma kilikuwa cha utoto zaidi kwa sasa nimejitambua vizuri zaidi na ukiwa na mtu ambaye anakusaidia akawa hataki vitu fulani ni lazima kuheshimu ndiyo maana sionekani ovyo kwa sasa,” alisema Masogange.


Hivyo makala MREMBO MASOGANGE AFUNGUKA HAYA KUHUSU UKIMYA WAKE

yaani makala yote MREMBO MASOGANGE AFUNGUKA HAYA KUHUSU UKIMYA WAKE Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala MREMBO MASOGANGE AFUNGUKA HAYA KUHUSU UKIMYA WAKE mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/mrembo-masogange-afunguka-haya-kuhusu.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "MREMBO MASOGANGE AFUNGUKA HAYA KUHUSU UKIMYA WAKE"

Post a Comment