Maneno ya Diamond baada ya Rayvanny kunyakua tuzo ya BET

Maneno ya Diamond baada ya Rayvanny kunyakua tuzo ya BET - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Maneno ya Diamond baada ya Rayvanny kunyakua tuzo ya BET, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Maneno ya Diamond baada ya Rayvanny kunyakua tuzo ya BET
kiungo : Maneno ya Diamond baada ya Rayvanny kunyakua tuzo ya BET

soma pia


Maneno ya Diamond baada ya Rayvanny kunyakua tuzo ya BET

Msanii wa Bongo Flava, Rayvanny kutoka Wasafi Classic Baby (WCB) ameshinda tuzo ya BET (Black Entertainment Television) kipengele cha ‘Viewers Choice Best New International Act Artist’.

Kufuatia ushindi huo msanii Diamond Platnumz ambaye anaiongoza WCB amepongeza ushindi huo wa Rayvanny, amesema kuwa zaidi ya miaka mitatu tunaenda na kurudi patupu lakini safari hii si patupu tena kufuatia ushindi huo.

“Hatimaye leo Unakuja nayo Tanzania Dah! ….Zaidi ya miaka mi 3 tunaenda na kurudi Patupu….Hakika Maisha Uvumilivu na kutokata tamaa…. BRING IT HOME BOSS!!! @babutale”

“WOOOOOOOOOYOOOOOOOO!!!!!!!….. Nikishindwa kwa Mkono wa Kulia, ntatumia hata Mkono wa Kushoto…..ila lazma ifike @Wcb_Wasafi TANZANIA!!!! Chkua hiyo #Wcb_Wasafi #WinningTeam!”


Hivyo makala Maneno ya Diamond baada ya Rayvanny kunyakua tuzo ya BET

yaani makala yote Maneno ya Diamond baada ya Rayvanny kunyakua tuzo ya BET Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Maneno ya Diamond baada ya Rayvanny kunyakua tuzo ya BET mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/maneno-ya-diamond-baada-ya-rayvanny.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Maneno ya Diamond baada ya Rayvanny kunyakua tuzo ya BET"

Post a Comment