Wabunge wameafiki kutoa posho zao za siku kwa ajili ya rambirambi kwa familia zilizopoteza Watoto katika Ajali iliyoua Wanafunzi 32

Wabunge wameafiki kutoa posho zao za siku kwa ajili ya rambirambi kwa familia zilizopoteza Watoto katika Ajali iliyoua Wanafunzi 32 - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Wabunge wameafiki kutoa posho zao za siku kwa ajili ya rambirambi kwa familia zilizopoteza Watoto katika Ajali iliyoua Wanafunzi 32, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Wabunge wameafiki kutoa posho zao za siku kwa ajili ya rambirambi kwa familia zilizopoteza Watoto katika Ajali iliyoua Wanafunzi 32
kiungo : Wabunge wameafiki kutoa posho zao za siku kwa ajili ya rambirambi kwa familia zilizopoteza Watoto katika Ajali iliyoua Wanafunzi 32

soma pia


Wabunge wameafiki kutoa posho zao za siku kwa ajili ya rambirambi kwa familia zilizopoteza Watoto katika Ajali iliyoua Wanafunzi 32

Wabunge wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo wakiwa bungeni wamekubaliana kwa kauli moja kuwa posho za kila mbunge kwa siku ya leo zipelekwe kwa wazazi wa wanafunzi waliofariki kwa ajali ya basi la Shule ya awali na Msingi ya Lucky Vincent

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan anaongoza waombolezaji mbalimbali kuaga miili 35 ya marehemu katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

Mbali na Makamu wa Rais pia viongozi mbalimbali wa Serikali wamewasili katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid kuaga miili ya wanafunzi waliofariki kwa ajali Arusha.


Hivyo makala Wabunge wameafiki kutoa posho zao za siku kwa ajili ya rambirambi kwa familia zilizopoteza Watoto katika Ajali iliyoua Wanafunzi 32

yaani makala yote Wabunge wameafiki kutoa posho zao za siku kwa ajili ya rambirambi kwa familia zilizopoteza Watoto katika Ajali iliyoua Wanafunzi 32 Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Wabunge wameafiki kutoa posho zao za siku kwa ajili ya rambirambi kwa familia zilizopoteza Watoto katika Ajali iliyoua Wanafunzi 32 mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/05/wabunge-wameafiki-kutoa-posho-zao-za.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Wabunge wameafiki kutoa posho zao za siku kwa ajili ya rambirambi kwa familia zilizopoteza Watoto katika Ajali iliyoua Wanafunzi 32"

Post a Comment