Mwanahabari Amy Goodman Amehutubia Hapa Kwetu - Profesa Mbele - Hallo rafiki
WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mwanahabari Amy Goodman Amehutubia Hapa Kwetu - Profesa Mbele, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts
makala afya,
makala biashara,
makala general,
makala hobby,
makala karibuni info,
makala michezo,
makala siasa,
makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.
title :
Mwanahabari Amy Goodman Amehutubia Hapa Kwetu - Profesa Mbelekiungo :
Mwanahabari Amy Goodman Amehutubia Hapa Kwetu - Profesa Mbele
Mwanahabari Amy Goodman Amehutubia Hapa Kwetu - Profesa Mbele
Na Profesa Mbele
Leo, mwanahabari na mwanaharakati maarufu Amy Goodman amehutubia chuoni Carleton hapa Northfield. Mada yake ilihusu "threats to freedom of the press and the importance of independent media," yaani mambo yanayotishia uhuru wa vyombo vya habari na umuhimu wa media zisizo chini ya mamlaka yoyote. Ninaamini tafsiri yangu inaweza kuboreshwa.
Amy Goodman ni maarufu kama mwendesha kipindi kiitwacho Democracy Now!, ambacho kinachambua masuala kwa mtazamo tofauti na ule wa watawala wakandamizi na propaganda zao za kurubuni watu na kuhalalisha hali iliyopo. Mtazamo wa Amy Goodman ni wa kichochezi kwa maslahi ya walalahoi, wavuja jasho, na wale wanaoonewa na kudhulumiwa. Ni mwana harakati ambaye hasiti kujitosa sehemu ambapo watu wanadhulumiwa ili kuwaunga mkono na kuwezesha sauti zao kusikika ulimwenguni.
Katika mhadhara wake wa leo, ameongelea zaidi hali ya Marekani, akiainisha madhaifu ya vyombo vya habari na media kwa ujumla. Alianza hotuba yake kwa kauli ya kusisimua na kufikirisha ya Thomas Jefferson, "were it left to me to decide whether we should have a government without newspapers or newspapers without a government, I should not hesitate a moment to prefer the latter," yaani "ingekuwa ni mamlaka yangu kuamua kama tuwe na serikali bila magazeti au magazeti bila serikali, nisingesita hata dakika moja kuchagua hilo la pili."
Baada ya hotuba yake, Amy alisaini nakala za kitabu chake, Democracy Now: Twenty Years of Covering the Movements Changing America. Wakati ananisainia, aliniuliza ninatoka wapi. Nilipomtajia Tanzania, alitabasamu, akasema "Julius Nyerere." Niliguswa, ingawa sikushangaa, kuwa Amy ni mmoja wa watu wa ughaibuni wanaomwenzi Mwalimu Nyerere.
|
Hivyo makala Mwanahabari Amy Goodman Amehutubia Hapa Kwetu - Profesa Mbele
yaani makala yote Mwanahabari Amy Goodman Amehutubia Hapa Kwetu - Profesa Mbele Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala Mwanahabari Amy Goodman Amehutubia Hapa Kwetu - Profesa Mbele mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/05/mwanahabari-amy-goodman-amehutubia-hapa.html
Related Posts :
CRDB BANK YAMWAGA SERA KWA WAJASIRIAMALI WANAWAKE WAFUGA KUKU UFUNGUZI WA SEMINA YAO MKURANGA MKOANI PWANI
Meneja wa CRDB Bank Tawi la Mbagala jijini Dar es Salaam, Midlaster Nsanzugwanko, akizungumza na Wajasiriamali wanawake wafuga kuku wa Wi… Read More...
RAIS MAGUFULI APONGEZA JIMBO LA MBULU KUPATA ASKOFU MPYARAIS John Magufuli amewapongeza wananchi wa wilaya za Mbulu, Babati na Hanang' mkoani Manyara na Karatu mkoani Arusha zinazounda Jimbo la Mb… Read More...
Biteko atoa wiki moja kwa muwekezaji kulipa kodi ya madini serikalini
Naibu waziri wa madini, Dotto Biteko akizungumza na wachimbaji wadogo wa eneo la Kilalani, baada ya kutembelea eneo hilo.
Na Zuena Msuya, … Read More...
DC JOKATE AENDELEA NA MAPAMBANO DHIDI YA WAVAMIZI WA MISITU KISARAWE
… Read More...
MAVUNDE AWAONDOA HOFU WAWEKEZAJI NCHININa Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Anthony Mavunde amewao… Read More...
0 Response to "Mwanahabari Amy Goodman Amehutubia Hapa Kwetu - Profesa Mbele"
Post a Comment