title : MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 33, MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO MAY 24, 2017.
kiungo : MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 33, MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO MAY 24, 2017.
MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 33, MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO MAY 24, 2017.
Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Azzan Zungu akiongoza kikao cha thelasini na tatu cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 24, 2017.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe.Selemani Jafo akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika kikao cha thelasini na tatu cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 24, 2017.
Waziri wa Sera,Bunge,Kazi,Vijana,Ajira na Wenye Ulemavu Mhe.Jenista Mhagama akizungumza jambo na Naibu Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Anastazia Wambura katika kikao cha thelasini na tatu cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 24, 2017.
Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CCM) Mhe.Ally Keissy akiuliza swali katika kikao cha thelasini na tatu cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 24, 2017.
Mbunge wa Viti Maalum(CCM) Mhe.Kiteto Koshuma akiuliza swali katika kikao cha thelasini na tatu cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 24, 2017.
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
Hivyo makala MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 33, MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO MAY 24, 2017.
yaani makala yote MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 33, MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO MAY 24, 2017. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 33, MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO MAY 24, 2017. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/05/matukio-katika-picha-yaliyojiri-katika_24.html
0 Response to "MATUKIO KATIKA PICHA: YALIYOJIRI KATIKA KIKAO CHA 33, MKUTANO WA SABA BUNGE LA 11 MJINI DODOMA LEO MAY 24, 2017."
Post a Comment