Maskuli yote kufungwa kuanzia kesho kutokana na kuendelea kunyesha kwa mvua kubwa

Maskuli yote kufungwa kuanzia kesho kutokana na kuendelea kunyesha kwa mvua kubwa - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Maskuli yote kufungwa kuanzia kesho kutokana na kuendelea kunyesha kwa mvua kubwa, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Maskuli yote kufungwa kuanzia kesho kutokana na kuendelea kunyesha kwa mvua kubwa
kiungo : Maskuli yote kufungwa kuanzia kesho kutokana na kuendelea kunyesha kwa mvua kubwa

soma pia


Maskuli yote kufungwa kuanzia kesho kutokana na kuendelea kunyesha kwa mvua kubwa

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali, Mhe Riziki Juma Pemba leo ametangaza rasmi kuzifunga skuli zote za serikali na binafsi kuanzia kesho Jumatano tarehe 10 Mei hadi tarehe 15 siku ya Jumatatu.

Sababu kubwa ya kufungwa maskuli ni kutokana na kuendelea kunyesha mvua kubwa katika visiwa vya Unguja na Pemba na hivyo kusababisha kujaa maji maeneo mbali mbali ambayo na kuwepo uwezekano wa kuleta athari

Tangazo hili haliwahusu wanafunzi wote wanaofanya mtihani ya kidato cha sita. Wanafunzi hawa watatakiwa kwenda kama kawaida kwenye vituo vyao vya mitihani kwa kuendelea kufanya mitihani


Chanzo ZBC Radio


Hivyo makala Maskuli yote kufungwa kuanzia kesho kutokana na kuendelea kunyesha kwa mvua kubwa

yaani makala yote Maskuli yote kufungwa kuanzia kesho kutokana na kuendelea kunyesha kwa mvua kubwa Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Maskuli yote kufungwa kuanzia kesho kutokana na kuendelea kunyesha kwa mvua kubwa mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/05/maskuli-yote-kufungwa-kuanzia-kesho.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Maskuli yote kufungwa kuanzia kesho kutokana na kuendelea kunyesha kwa mvua kubwa"

Post a Comment