‘KABURU’ YANGA WANASHANGILIA UBINGWA HEWA,SIMBA INA NAFASI YA KUTWAA UBINGWA VPL

‘KABURU’ YANGA WANASHANGILIA UBINGWA HEWA,SIMBA INA NAFASI YA KUTWAA UBINGWA VPL - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa ‘KABURU’ YANGA WANASHANGILIA UBINGWA HEWA,SIMBA INA NAFASI YA KUTWAA UBINGWA VPL, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : ‘KABURU’ YANGA WANASHANGILIA UBINGWA HEWA,SIMBA INA NAFASI YA KUTWAA UBINGWA VPL
kiungo : ‘KABURU’ YANGA WANASHANGILIA UBINGWA HEWA,SIMBA INA NAFASI YA KUTWAA UBINGWA VPL

soma pia


‘KABURU’ YANGA WANASHANGILIA UBINGWA HEWA,SIMBA INA NAFASI YA KUTWAA UBINGWA VPL

Mwambawahabari
unnamed
Simba wanatakiwa kushinda zaidi ya mabao nane katika mechi yao ya mwisho ya Ligi Kuu huku wakiomba Yanga ipoteza kwa zaidi ya mabao matano dhidi ya Mbao FC mjini Mwanza ili wao wawe mabingwa.
 
Lakini hiyo haiwakatishi Simba tamaa na hawataki kusikia Yanga wakitangazwa kuwa mabingwa kabla ya mechi yao ya mwisho wao wakiwavaa Mwadui FC jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Simba, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ amesisitiza bado wanataka kuona matokeo hadi mechi ya mwisho.
 
“Sisi tunajua bingwa bado hajapatikana na tutaona hadi katika mechi ya mwisho. Tutapambana hadi tone la mwisho.
 
“Hatuwezi kukata tamaa, huu ni mpira na vijana wako vizuri kabisa,” alisema akionyesha kujiamini.
 
Endapo mechi ya mwisho Yanga atakubali kufungwa atakuwa na pointi 68 sawa na Simba ambao viongozi bado wanaamini kuwa pointi tatu walizopokonywa dhidi ya Kagera Sugar zitarudishwa kwani wanataka kwenda FIFA kudai pointi zao na watakuwa na pointi 71.


Hivyo makala ‘KABURU’ YANGA WANASHANGILIA UBINGWA HEWA,SIMBA INA NAFASI YA KUTWAA UBINGWA VPL

yaani makala yote ‘KABURU’ YANGA WANASHANGILIA UBINGWA HEWA,SIMBA INA NAFASI YA KUTWAA UBINGWA VPL Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala ‘KABURU’ YANGA WANASHANGILIA UBINGWA HEWA,SIMBA INA NAFASI YA KUTWAA UBINGWA VPL mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/05/kaburu-yanga-wanashangilia-ubingwa.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "‘KABURU’ YANGA WANASHANGILIA UBINGWA HEWA,SIMBA INA NAFASI YA KUTWAA UBINGWA VPL"

Post a Comment