Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki yajidhatiti kukarabati miundombinu ya Ofisi za Balozi

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki yajidhatiti kukarabati miundombinu ya Ofisi za Balozi - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki yajidhatiti kukarabati miundombinu ya Ofisi za Balozi, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki yajidhatiti kukarabati miundombinu ya Ofisi za Balozi
kiungo : Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki yajidhatiti kukarabati miundombinu ya Ofisi za Balozi

soma pia


Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki yajidhatiti kukarabati miundombinu ya Ofisi za Balozi

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Susan Kolimba akijibu swali la Mhe. Raisa Adallah Musa Bungeni katika kipindi cha maswali na majibu mapema leo asubuhi, amesema kuwa Wizara kwa kutumia bajeti ya maendeleo ya Serikali na vyanzo vingine vya mapato inaendelea kutekeleza mkakati wa kurekebisha na kuboresha miundombinu ya Ofisi za Balozi na makazi ya watumishi wa ubalozini katika maeneo mbalimbali yenye uwakilishi Duniani. 

Mkakati huu unahusisha ukarabati wa majengo yaliyopo, ujenzi wa majengo mapya, sambamba na ununuzi wa majengo mapya. Mkakati huu unaanza kutekelezwa katika mwaka wa fedha ujao 2017/2018. 
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Susan Kolimba akijibu maswali kutoka kwa Waheshimiwa Wabunge katika Kikao cha Bunge kwenye kipindi cha maswali na majibu 


Hivyo makala Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki yajidhatiti kukarabati miundombinu ya Ofisi za Balozi

yaani makala yote Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki yajidhatiti kukarabati miundombinu ya Ofisi za Balozi Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki yajidhatiti kukarabati miundombinu ya Ofisi za Balozi mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/04/wizara-ya-mambo-ya-nje-na-ushirikiano.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki yajidhatiti kukarabati miundombinu ya Ofisi za Balozi"

Post a Comment