WATUMISHI SEKTA YA UJENZI WAPEWA SOMO

WATUMISHI SEKTA YA UJENZI WAPEWA SOMO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WATUMISHI SEKTA YA UJENZI WAPEWA SOMO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WATUMISHI SEKTA YA UJENZI WAPEWA SOMO
kiungo : WATUMISHI SEKTA YA UJENZI WAPEWA SOMO

soma pia


WATUMISHI SEKTA YA UJENZI WAPEWA SOMO

 Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Eng. Joseph Nyamhanga (Wa pili kulia), akizungumza na wafanyakazi wa Wizara hiyo pamoja na wawakilishi kutoka Taasisi zilizo chini ya Wizara katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi, Mkoani Morogoro.
 Katibu wa Baraza la Wafanyakazi (Sekta ya Ujenzi), Bw. Ramadhani Msafiri(Wa pili kushoto), akifafanua jambo kwa wafanyakazi wa Wizara hiyo pamoja na Wawakilishi kutoka Taasisi zilizo chini ya Wizara katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi, Mkoani Morogoro.
 Mmoja wa wafanyakazi wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Bw. Shukuru Sikunjema, akitoa maoni yake kwa Mwenyekiti Wa Baraza la Wafanyakazi Eng. Joseph Nyamhanga katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi, Mkoani Morogoro.
 Wafanyakazi wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi) wakifuatilia maelekezo ya Baraza la Wafanyakazi wakati wa kikao hicho kilichofanyika Mkoani Morogoro.

BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI


Hivyo makala WATUMISHI SEKTA YA UJENZI WAPEWA SOMO

yaani makala yote WATUMISHI SEKTA YA UJENZI WAPEWA SOMO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WATUMISHI SEKTA YA UJENZI WAPEWA SOMO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/04/watumishi-sekta-ya-ujenzi-wapewa-somo.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "WATUMISHI SEKTA YA UJENZI WAPEWA SOMO"

Post a Comment