title : KAMATI YA LAAC YATEMBELEA MIRADI YA BARABARA MANISPAA YA MOROGORO
kiungo : KAMATI YA LAAC YATEMBELEA MIRADI YA BARABARA MANISPAA YA MOROGORO
KAMATI YA LAAC YATEMBELEA MIRADI YA BARABARA MANISPAA YA MOROGORO
Meneja wa Wakala wa Barabara Vijijini (TARURA) Mkoa wa Morogoro, Mhandisi Godwin Mpinzile akitoa maelezo kuhusiana na mradi wa Barabara ya Maelewano iliyoko katika Manispaa ya Morogoro mbele ya Kamati ya Bunge ya Serikali za Mitaa (LAAC).kamati hiyo iko ziara Mkoani Morogoro kwa ajili ya kukagua miradi ya maji na barabara.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Mhe. Vedasto Ngombale akizungumza na watendaji wa Manispaa ya Morogoro kabla ya Kamati hiyo kutembelea miradi ya Barabara katika Manispaa hiyo. kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mhe. Abdallah Chikota.
Hivyo makala KAMATI YA LAAC YATEMBELEA MIRADI YA BARABARA MANISPAA YA MOROGORO
yaani makala yote KAMATI YA LAAC YATEMBELEA MIRADI YA BARABARA MANISPAA YA MOROGORO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.
Wewe ni sasa kusoma makala KAMATI YA LAAC YATEMBELEA MIRADI YA BARABARA MANISPAA YA MOROGORO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/09/kamati-ya-laac-yatembelea-miradi-ya.html
0 Response to "KAMATI YA LAAC YATEMBELEA MIRADI YA BARABARA MANISPAA YA MOROGORO"
Post a Comment