NEWZ ALERT:ASKARI 12 JKT WAFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI MBEYA

NEWZ ALERT:ASKARI 12 JKT WAFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI MBEYA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa NEWZ ALERT:ASKARI 12 JKT WAFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI MBEYA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : NEWZ ALERT:ASKARI 12 JKT WAFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI MBEYA
kiungo : NEWZ ALERT:ASKARI 12 JKT WAFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI MBEYA

soma pia


NEWZ ALERT:ASKARI 12 JKT WAFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI MBEYA

Wengine 25 wajeruhiwa...Kamanda Polisi Mbeya alezea ajali ilivyotokea

Na Said Mwishehe, Globu ya jamii

ASKARI 12 wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wamefariki dunia baada ya gari waliyokuwa wakisafiria kupata ajali eneo la Kawe Tele mkoani Mbeya.

Akizungumza leo kwa njia ya simu na Michuzi Blog Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Mussa Taibu amesema kuwa ajali hiyo imetokea leo saa 8:30 mchana katika eneo hilo na kwamba gari hiyo iliyokuwa na askari hao ilikuwa ikitokea Igunga.

Amesema kutokana na mwendo mkali aliokuwa anaendesha dereva wa basi gari hiyo yenye namba T 755 BAB aina Scania alishindwa kumudu kutokana na mwendo kasi aliokuwa nao

Amesema kuwa askari hao walikuwa wakitokea Igunga kwenda Mbeya kwa ajili ya kuendelea na mafunzo mengine ya jeshi baada ya kumaliza mafunzo katika kambi ya Igunga.Amefafanua kuwa dereva wa gari hiyo naye amepoteza maisha na kwamba miili ya merehemu hao ipo chumba cha kuhifadhi maiti Hospitali ya Taifa Mbeya.

Amesema waliojeruhiwa kwenye ajali hiyo ni askari 25 na wanne hali zao ni mbaya na sasa wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Rufaa Mbeya huku majeruhi waliobakia wakipatika matibabu katika hospitali ya JKT Mbeya kwani majeraha yao si makubwa.
Baadhi ya Askari wa JWTZ na JKT wakishriki kutoa msaada kwa Majeruhi  waliopata ajali iliyotokea katika eneo la Kawetele mkoani Mbeya mapema leo mchana.ASKARI 12 wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wamefariki dunia baada ya gari waliyokuwa wakisafiria kupata ajali eneo la Kawe Tele mkoani Mbeya.ASKARI 12 wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) wamefariki dunia baada ya gari waliyokuwa wakisafiria kupata ajali eneo la Kawe Tele mkoani Mbeya.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Mussa Taibu amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kuongeza kuwa ajali hiyo imetokea leo saa 8:30 mchana katika eneo hilo na kwamba gari hiyo iliyokuwa na askari hao ilikuwa ikitokea Igunga.



Hivyo makala NEWZ ALERT:ASKARI 12 JKT WAFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI MBEYA

yaani makala yote NEWZ ALERT:ASKARI 12 JKT WAFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI MBEYA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala NEWZ ALERT:ASKARI 12 JKT WAFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI MBEYA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/06/newz-alertaskari-12-jkt-wafariki-dunia.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "NEWZ ALERT:ASKARI 12 JKT WAFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI MBEYA"

Post a Comment