YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA
kiungo : YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

soma pia


YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

  Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akisisitiza jambo leo Bungeni Jijini Dodoma mara baada ya kipindi cha maswali na majibu .
 Naibu Waziri wa Mali Asili na Utalii Mhe. Japhet Hasunga  Akitoa maelezo kuhusu mikakati ya Serikali kuhakikisha kuwa migogogoro ya mipaka kati ya hifadhi za Taifa na wananchi inapatiwa ufumbuzi leo Bungeni Jijini Dodoma.
 Mbunge wa kuteuliwa ( CCM) Mhe. Anne   Kilango Malecela  akisisitiza kuhusu  Serikali kuweka mikakati ya kuimarisha miundo mbinu ya barabara katika jimbo la Same ili kusaidia kukza uzalishaji wa mazao ya biashasra leo wakati wa kipindi cha maswali na majibu  Bungeni  Jijini Dodoma leo.
 Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Hussein Mwinyi akitoa maelezo Bungeni kuhusu hatua zinazochukuliwa na Serikali katika kuwalipa fidia askari na wapiganaji wanaoathirika wakati wanatekeleza majukumu ya kulinda usalama ndani na nje ya nchi kwenye vyombo vya Umoja wa Mataifa (UN) au SADC  leo Bungeni jijini Dodoma wakati wa kipindi cha maswali na majibu.
 Mbunge wa  Geita Mhe.  Msukuma Joseph Kasheku akiuliza swali Bungeni leo Jijini Dodoma kuhusu ni lini Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) utawasilisha bajeti yake ya kuhudumia jamii katika Baraza la Madiwani wa Geita ili waweze kuangalia vipaumbele vyao na kuwapa vipaumbele vya Halmashauri hiyo.
Naibu Waziri wa Madini Mhe. Stanslaus  Nyongo akieleza mikakati ya Serikali kuwawezesha wachimbaji wadogo katika maeneo yote nchini wakati wa kipindi cha maswali na majibu Bungeni Jijini Dodoma leo.
 Sehemu ya wageni waliofika Bungeni kwa ziara ya mafunzo wakifuatilia kipindi cha maswali na majibu leo Bungeni Jijini Dodoma.

 (Picha zote na Frank Mvungi- MAELEZO)



Hivyo makala YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA

yaani makala yote YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2018/05/yaliyojiri-leo-bungeni-jijini-dodoma_8.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "YALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA"

Post a Comment