Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Shein Akutana na Uongozi wa Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo Ikulu Zanzibar leo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Shein Akutana na Uongozi wa Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo Ikulu Zanzibar leo. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Shein Akutana na Uongozi wa Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo Ikulu Zanzibar leo., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Shein Akutana na Uongozi wa Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo Ikulu Zanzibar leo.
kiungo : Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Shein Akutana na Uongozi wa Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo Ikulu Zanzibar leo.

soma pia


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Shein Akutana na Uongozi wa Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo Ikulu Zanzibar leo.

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo katika  kikao cha siku moja cha Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017 kilichofanyika leo katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Unguja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo katika  kikao cha siku moja cha Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017 kilichofanyika leo katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Unguja
Katibu Mkuu wa  Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo Nd,Omar Hassan Omar (king)(kushoto) alipokuwa akifanya uchambuzi wa Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017 cha Wizara ya hiyo,wakati wa kikao cha siku moja   kilichofanyika leo katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Unguja,chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani
 Baadhi ya Viongozi wa Idara mbali mbali zilizo chini ya Wizara ya  Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo  wakimsikiliza  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani),alipozungumza na Uongozi wa Wizara hiyo leo katika kikao cha siku moja cha Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017 katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Unguja. 
 Baadhi ya Viongozi wa Idara mbali mbali zilizo chini ya Wizara ya  Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo  wakimsikiliza  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani),alipozungumza na Uongozi wa Wizara hiyo leo katika kikao cha siku moja cha Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017 katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.] 26/10 /2017. 



Hivyo makala Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Shein Akutana na Uongozi wa Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo Ikulu Zanzibar leo.

yaani makala yote Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Shein Akutana na Uongozi wa Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo Ikulu Zanzibar leo. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Shein Akutana na Uongozi wa Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo Ikulu Zanzibar leo. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/rais-wa-zanzibar-na-mwenyekiti-wa_26.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Shein Akutana na Uongozi wa Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo Ikulu Zanzibar leo."

Post a Comment