DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA HABARI,UTALII,UTAMADUNI NA MICHEZO

DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA HABARI,UTALII,UTAMADUNI NA MICHEZO - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA HABARI,UTALII,UTAMADUNI NA MICHEZO, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA HABARI,UTALII,UTAMADUNI NA MICHEZO
kiungo : DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA HABARI,UTALII,UTAMADUNI NA MICHEZO

soma pia


DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA HABARI,UTALII,UTAMADUNI NA MICHEZO

 Waziri wa Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo Mhe.Rashid Ali Juma  (katikati) alipokuwa akisoma taarifa yake katika   kikao cha siku moja cha  Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017 cha  Uongozi wa Wizara  hiyo kilichofanyika leo katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Unguja,chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
 Baadhi ya Viongozi wa Idara mbali mbali zilizo chini ya Wizara ya  Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo  wakimsikiliza  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani),alipozungumza na Uongozi wa Wizara hiyo leo katika kikao cha siku moja cha Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017 katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Unguja
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo katika  kikao cha siku moja cha Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017 kilichofanyika leo katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Unguja
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo katika  kikao cha siku moja cha Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017 kilichofanyika leo katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Unguja
Katibu Mkuu wa  Wizara ya Habari,Utalii,Utamaduni na Michezo Nd,Omar Hassan Omar (king)(kushoto) alipokuwa akifanya uchambuzi wa Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango kazi kwa kipindi cha robo ya kwanza Julai- Septemba 2017 cha Wizara ya hiyo,wakati wa kikao cha siku moja   kilichofanyika leo katika ukumbi wa  Ikulu Mjini Unguja,chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein


Hivyo makala DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA HABARI,UTALII,UTAMADUNI NA MICHEZO

yaani makala yote DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA HABARI,UTALII,UTAMADUNI NA MICHEZO Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA HABARI,UTALII,UTAMADUNI NA MICHEZO mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/10/dkshein-azungumza-na-uongozi-wa-wizara_93.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA HABARI,UTALII,UTAMADUNI NA MICHEZO"

Post a Comment