Tundu Lissu Kufanyiwa Upasuaji Mwingine Leo.

Tundu Lissu Kufanyiwa Upasuaji Mwingine Leo. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Tundu Lissu Kufanyiwa Upasuaji Mwingine Leo., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Tundu Lissu Kufanyiwa Upasuaji Mwingine Leo.
kiungo : Tundu Lissu Kufanyiwa Upasuaji Mwingine Leo.

soma pia


Tundu Lissu Kufanyiwa Upasuaji Mwingine Leo.


Wakati Mbunge wa jimbo la Singida Mashariki (chadema) Tundu Lissu leo  anatarajiwa kufanyiwa upasuaji mwingine, fedha zilizochangwa na wabunge hatimaye  mchana zimeonekana katika akaunti ya hospitali ya Nairobi.

Lissu ambaye tangu Septemba 7 amekuwa akipatiwa matibabu,katika hospitali hii kesho  atafanyiwa upasuaji tena na jopo la madaktari kutazama athari zaidi katika mwili wake.

Akizungumza na mwananchi mmoja wa wauguzi wa hospitali ya Nairobi, ambaye ameomba kuhifadhiwa jina, amesema upasuaji unahusu eneo la nyonga.


Hivyo makala Tundu Lissu Kufanyiwa Upasuaji Mwingine Leo.

yaani makala yote Tundu Lissu Kufanyiwa Upasuaji Mwingine Leo. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Tundu Lissu Kufanyiwa Upasuaji Mwingine Leo. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/tundu-lissu-kufanyiwa-upasuaji-mwingine.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Tundu Lissu Kufanyiwa Upasuaji Mwingine Leo."

Post a Comment