Rais Dk Shein awaapisha makamishna wa kamisheni ya utumishi wa umma leo Ikulu

Rais Dk Shein awaapisha makamishna wa kamisheni ya utumishi wa umma leo Ikulu - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Rais Dk Shein awaapisha makamishna wa kamisheni ya utumishi wa umma leo Ikulu, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Rais Dk Shein awaapisha makamishna wa kamisheni ya utumishi wa umma leo Ikulu
kiungo : Rais Dk Shein awaapisha makamishna wa kamisheni ya utumishi wa umma leo Ikulu

soma pia


Rais Dk Shein awaapisha makamishna wa kamisheni ya utumishi wa umma leo Ikulu


 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha Bw.Mohammed Fakih Mohammed  kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma katika hafla iliyofanyika leo   ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali, [Picha na Ikulu.] 24/09/2017.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha Jaji Hamid Mahmoud Hamid kuwa Mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Umma katika hafla iliyofanyika leo   ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali, [Picha na Ikulu.] 24/09/2017.
  

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha Balozi Hussein Said Khatib kuwa Mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Umma katika hafla iliyofanyika leo   ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali, [Picha na Ikulu.] 24/09/2017
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha Bw.Mabrouk Jabu Makame kuwa Mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Umma katika hafla iliyofanyika leo  ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali, [Picha na Ikulu.] 24/09/2017.  
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha Bw.Ali Rajab Juma  kuwa Mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Umma katika hafla iliyofanyika leo  ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali, [Picha na Ikulu.] 24/09/2017.  
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimuapisha Bibi Rukia Mohammed Issa  kuwa Mjumbe wa Tume ya Utumishi wa Umma katika hafla iliyofanyika leo  ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar na kuhudhuriwa na Viongozi mbali mbali, [Picha na Ikulu.] 24/09/2017. 


Hivyo makala Rais Dk Shein awaapisha makamishna wa kamisheni ya utumishi wa umma leo Ikulu

yaani makala yote Rais Dk Shein awaapisha makamishna wa kamisheni ya utumishi wa umma leo Ikulu Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Rais Dk Shein awaapisha makamishna wa kamisheni ya utumishi wa umma leo Ikulu mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/09/rais-dk-shein-awaapisha-makamishna-wa.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Rais Dk Shein awaapisha makamishna wa kamisheni ya utumishi wa umma leo Ikulu"

Post a Comment