WAZIRI NDALICHAKO AFANYA ZIARA YA KUZITEMBELEA SHULE ZENYE UHITAJI MAALUM MKOANI IRINGA

WAZIRI NDALICHAKO AFANYA ZIARA YA KUZITEMBELEA SHULE ZENYE UHITAJI MAALUM MKOANI IRINGA - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa WAZIRI NDALICHAKO AFANYA ZIARA YA KUZITEMBELEA SHULE ZENYE UHITAJI MAALUM MKOANI IRINGA, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : WAZIRI NDALICHAKO AFANYA ZIARA YA KUZITEMBELEA SHULE ZENYE UHITAJI MAALUM MKOANI IRINGA
kiungo : WAZIRI NDALICHAKO AFANYA ZIARA YA KUZITEMBELEA SHULE ZENYE UHITAJI MAALUM MKOANI IRINGA

soma pia


WAZIRI NDALICHAKO AFANYA ZIARA YA KUZITEMBELEA SHULE ZENYE UHITAJI MAALUM MKOANI IRINGA

 Waziri wa elimu na mafunzo ya Ufundi Prof. Joyce Ndalichako alifanya ziara ya ghafla katika shule Mkoani Iringa. Alitembelea shule zinazo fundisha watoto wenye mahitaji maalum za Makala Wilaya ya Mfundi, Shule ya viziwi Mtwivila, Shule ya sekondari ya wasichana Mtwivila na shule ya sekondari ya Lugalo.

 Nia ya ziara hiyo ni pamoja na kukagua vifaa vya kufundishia ambavyo serikali imetoa. Pia alipta fursa ya kusalimia wanafunzi na walimu. Katika ziara hiyo aliongzana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe Amina Masenza, Katibu Tawala wa mkoa wa Iringa Bi wamoja Ayoub, Wakuu wa wilaya ya Mufindi Mhe. Jamhuri David na Iringa Mhe.Richard Kasesela. Pia wabunge waheshimiwa, Ritta Kabati, Zainab Mwamwindi na Mch Peter Msigwa​.
Waziri Ndalichako akipokelewa na Mkuu wa wilaya ya Iriga mjini Mh Richard Kasesela pamoja na Mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mh.Peter Msigwa mara baada ya kuwasili ndani ya Manispaa ya Iringa 
Waziri Prof.Ndalichako  akisikiliza jinsi ya kufundisha watoto wenye ulemavu wa kusikia​.
​Waziri Prof. Ndalichako akiongea na Mbunge wa jimbo la Iringa Mjini,Mhe.Peter Msigwa katika Shule ya Viziwi, Mbunge Viti Maalum Mhe Zainab Mwamwindi akisikiliza​
Waziri  Profesa Ndalichako akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Iringa girls 
picha ya pamoja na wanafunzi wenye mahitaji maalum
Waziri Profesa Ndalichako akiongea na wananfunzi wa Shule ya sekondari Lugalo kidato cha 5


Hivyo makala WAZIRI NDALICHAKO AFANYA ZIARA YA KUZITEMBELEA SHULE ZENYE UHITAJI MAALUM MKOANI IRINGA

yaani makala yote WAZIRI NDALICHAKO AFANYA ZIARA YA KUZITEMBELEA SHULE ZENYE UHITAJI MAALUM MKOANI IRINGA Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala WAZIRI NDALICHAKO AFANYA ZIARA YA KUZITEMBELEA SHULE ZENYE UHITAJI MAALUM MKOANI IRINGA mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/waziri-ndalichako-afanya-ziara-ya.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "WAZIRI NDALICHAKO AFANYA ZIARA YA KUZITEMBELEA SHULE ZENYE UHITAJI MAALUM MKOANI IRINGA"

Post a Comment