Jumuiya ya Watanzania wa London (Tanzania Association- London) yapata viongozi

Jumuiya ya Watanzania wa London (Tanzania Association- London) yapata viongozi - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Jumuiya ya Watanzania wa London (Tanzania Association- London) yapata viongozi, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Jumuiya ya Watanzania wa London (Tanzania Association- London) yapata viongozi
kiungo : Jumuiya ya Watanzania wa London (Tanzania Association- London) yapata viongozi

soma pia


Jumuiya ya Watanzania wa London (Tanzania Association- London) yapata viongozi

Jumuiya ya Watanzania wa London (Tanzania Association- London) imepata viongozi baada ya kufanyika uchaguzi huru wa kidemokrasia siku ya Jumamosi ya tarehe 15 July 2017 katika jiji la London. Mgeni rasmi alikua ni Mwenyekiti wa TZUK (Great Britain & Northern Ireland) Ndg. Abraham Sangiwa.
Viongozi waliochaguliwa ni: Dada Lynne Kimaro (Mwenyekiti), Ndg. Omwami George Ndibalema (Makamu Mwenyekiti), Ndg. Lazaro Matiku (Katibu), Dada Halima Yusuph (Naibu katibu), na Dada Edith Kimaro (Mweka Hazina)
Kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania Diaspora Community United Kingdom of Great Britain & NI, kila jumuiya za matawi zinatakiwa kuchagua wawakilishi wawili (2) katika Baraza (The Council) la Tanzania Diaspora UK. Wajumbe watachaguliwa hapo baadae. 
Napenda kutumia nafasi hii kuwapongeza sana katika hatua hio kubwa na ya muhimu katika ujenzi wa Umoja wa Watanzania UK 
 Asanteni, 
Uongozi Tanzania Diaspora Community/Association 
United Kingdom of Great Britain & Northern Ireland
Mwenyekiti wa TZUK (Great Britain & Northern Ireland) Ndg. Abraham Sangiwa (wa pili kulia) akiwa na uongozi wa Jumuiya ya Watanzania wa London
Mwenyekiti wa TZUK (Great Britain & Northern Ireland) Ndg. Abraham Sangiwa akimpongeza Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania London Dada Lynne Kimaro
Mwenyekiti wa TZUK (Great Britain & Northern Ireland) Ndg. Abraham Sangiwa akiwa katikia picha ya pamoja na wanachama na uongozi wa Jumuiya ya Watanzania London. Picha kwa hisani ya  TZUK


Hivyo makala Jumuiya ya Watanzania wa London (Tanzania Association- London) yapata viongozi

yaani makala yote Jumuiya ya Watanzania wa London (Tanzania Association- London) yapata viongozi Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Jumuiya ya Watanzania wa London (Tanzania Association- London) yapata viongozi mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/07/jumuiya-ya-watanzania-wa-london.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "Jumuiya ya Watanzania wa London (Tanzania Association- London) yapata viongozi"

Post a Comment