Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) afariki dunia

Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) afariki dunia - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) afariki dunia, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) afariki dunia
kiungo : Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) afariki dunia

soma pia


Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) afariki dunia

Mbunge wa zamani wa Moshi Mjini (Chadema) Philemon Ndesamburo amefariki dunia ghafla leo, wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC, Moshi.
 
Katibu wa Chadema, Mkoa wa Kilimanjaro, Basil Lema amethibitisha kifo hicho na kueleza kuwa wataendelea kutoa taarifa zaidi juu ya kifo cha mwanasiasa huyo mkongwe.
 
Taarifa zaidi kuhusu kifo cha Ndesamburo zitaendelea kukujia.


Hivyo makala Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) afariki dunia

yaani makala yote Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) afariki dunia Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) afariki dunia mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/06/mzee-philemon-ndesamburochadema-afariki.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) afariki dunia"

Post a Comment