SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI

SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI, tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI
kiungo : SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI

soma pia


SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI


SIMU.TV: Tanzania leo imeungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha siku ya kutotumia Tumbaku  huku serikali ikijipanga kudhibiti matumizi ya Tumbaku; https://youtu.be/e3IN5M8LMZM

SIMU.TV: Wananchi wilayani Musoma wameilalamikia mamlaka ya maji safi wilayani humo kwa kushindwa kukamilisha miradi kadhaa ya maji; https://youtu.be/TKAQy537ZdI

SIMU.TV: Madiwani wanawake jijini Dar Es salaam wamelalamikia tabia ya kutengwa na kutoshirikishwa katika baadhi ya maamuzi kwa kile walichokiita mfumo dume; https://youtu.be/8M6RtCBejg0

SIMU.TV: Mkuu wa wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi Joseph Mkirikiti, ametembelea hospitali ya wilaya hiyo na kubaini mrundikano mkubwa wa wagonjwa; https://youtu.be/enEUEbeX6BA

SIMU.TV: Jumla ya shilingi Bilioni 4.4 zimetengwa kwa ajili ya kuwajengea uwezo wananchi wa mikoa ya Iringa na Dodoma katika sekta ya afya; https://youtu.be/Ag7abnMjfVk  

SIMU.TV: Waigizaji wa filamu kutoka nchini China wamesema kuwa watatangaza vivutio vya utalii vilivyopo nchini Tanzania kwa kutumia filamu zao; https://youtu.be/nivQ1hi7b4A

SIMU.TV: Droo ya kwanza ya shilingi milioni 20 imepata mshindi baada ya Huruma Mkongwa kutoka Arusha kuibuka mshindi kwa kujinyakulia shilingi milioni 20; https://youtu.be/VWNnPweNayQ 

SIMU.TV: Kampuni ya simu ya Vodacom imezindua huduma mpya inayojulikana kama Ukarimu wa Vodacom katika kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhani; https://youtu.be/0cc_7l2mEmM  

SIMU.TV: Mtendaji mkuu wa klabu ya soka ya Azam Fc Saad Kawemba amekanusha taarifa zinazogaa kwenye mitandao kuwa amefukuzwa kazi katika timu hiyo; https://youtu.be/3fbY4GyGBxw

SIMU.TV: Klabu ya soka ya Azam imesema kuwa wachezaji wake wanatarajia kurejea kambini hivi karibuni kwa ajili ya kujiandaa na msimu ujao; https://youtu.be/heIXhC70e6U

SIMU.TV: Mkoa wa Mtwara umeanza maandalizi ya kusaka wachezaji bora ambao watakwenda kuuwakilisha mkoa kwenye mashindano ya Umiseta; https://youtu.be/cY5iruvbH20

SIMU.TV: Mashindano ya Umiseta kwa mkoa wa Dar Es salaam yameendelea hii leo kwa kuzikutanisha shule za wilaya ya Ubungo na Ilala katika dimba la Uhuru; https://youtu.be/vxuhYnQnDhU


Hivyo makala SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI

yaani makala yote SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/05/simu-tv-habari-kutoka-televisheni_31.html

Subscribe to receive free email updates:

Related Posts :

0 Response to "SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI"

Post a Comment