Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Shein Akiendelea na Ziara Yake Kisiwani Pemba. Aweka Jiwe la Msingi Soko la Samaki.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Shein Akiendelea na Ziara Yake Kisiwani Pemba. Aweka Jiwe la Msingi Soko la Samaki. - Hallo rafiki WORLD MAELEZO LATEST, Katika makala kusoma wakati huu na kichwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Shein Akiendelea na Ziara Yake Kisiwani Pemba. Aweka Jiwe la Msingi Soko la Samaki., tumeandaa vizuri kwa makala hii kusoma na kupakua maelezo humo. pengine kujaza posts makala afya, makala biashara, makala general, makala hobby, makala karibuni info, makala michezo, makala siasa, makala utamaduni, sisi kuandika anaweza kuelewa. Naam, furaha ya kusoma.

title : Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Shein Akiendelea na Ziara Yake Kisiwani Pemba. Aweka Jiwe la Msingi Soko la Samaki.
kiungo : Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Shein Akiendelea na Ziara Yake Kisiwani Pemba. Aweka Jiwe la Msingi Soko la Samaki.

soma pia


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Shein Akiendelea na Ziara Yake Kisiwani Pemba. Aweka Jiwe la Msingi Soko la Samaki.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Viongozi alipowasili kuweka jiwe la msingi ujenzi wa Soko la samaki na mboga mboga la Konde Wilaya ya Micheweni leo akiwa katika ziara zake katika Mkoa wa Kaskazini Pemba kutembelea Miradi mbali mbali ya Maendeleo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazia kama ishara ya kuweka jiwe la msingi ujenzi wa Soko la samaki na mboga mboga la Konde Wilaya ya Micheweni leo akiwa katika ziara zake katika Mkoa wa Kaskazini Pemba kutembelea Miradi mbali mbali ya Maendeleo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akibadilishana mawazo Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee (kushoto) mara baada ya kutembelea  ujenzi wa Soko la samaki na mboga mboga la Konde Wilaya ya Micheweni leo aliloliweka jiwe la msingi akiwa katika ziara zake katika Mkoa wa Kaskazini Pemba kutembelea Miradi mbali mbali ya Maendeleo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipofuatana na Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mhe.Hamad Rashid Mohamed mara baada ya kutembelea  ujenzi wa Soko la samaki na mboga mboga la Konde Wilaya ya Micheweni leo aliloliweka jiwe la msingi akiwa katika ziara zake katika Mkoa wa Kaskazini Pemba kutembelea Miradi mbali mbali ya Maendeleo,[Picha na Ikulu.]


Hivyo makala Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Shein Akiendelea na Ziara Yake Kisiwani Pemba. Aweka Jiwe la Msingi Soko la Samaki.

yaani makala yote Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Shein Akiendelea na Ziara Yake Kisiwani Pemba. Aweka Jiwe la Msingi Soko la Samaki. Wakati huu, pengine unaweza kutoa faida na wewe wote. Sawa, kuona katika post nyingine makala.

Wewe ni sasa kusoma makala Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Shein Akiendelea na Ziara Yake Kisiwani Pemba. Aweka Jiwe la Msingi Soko la Samaki. mahali kiungo https://wordmaelezo.blogspot.com/2017/08/rais-wa-zanzibar-na-mwenyekiti-wa_8.html

Subscribe to receive free email updates:

0 Response to "Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Shein Akiendelea na Ziara Yake Kisiwani Pemba. Aweka Jiwe la Msingi Soko la Samaki."

Post a Comment